Huu ni mwanzo mzuri kwa Simba SC

Huu ni mwanzo mzuri kwa Simba SC

Ukisikia mtu anashinda halafu hana furaha ni huku, jamaa wa nyuma kwenye picha anaona mchezo kuliko mleta uzi. Na jamaa ana huzuni mno kwa anachokiona
IMG_20240723_090409.jpg
 
Kusuka upya kwenyewe kumezidi banaa..!! ndo mkacheze na timu ya ligi dara la pili kweli..!!! Siyo kipimo kizuri hicho cha pre-season..!!
Dodoma Jiji safari hii wako moto sana. Wakiendelea kujipima nguvu na hivyo vitimu vya Second League Division watakiona cha moto hapo Septemba, 2024.
 
Subiri Matola na meneja Patrick waanze mambo yao,huyo kocha kama akimaliza nusu msimu atakuwa mwenye bahati sana.
Au labda viongozi wa Simba wawapige kurujuani watu wote wa benchi la ufundi ili kuondoa usaliti na unafiki kabla ligi haijaanza.
 
Simba no vilaza tu nimewachoka mie nipo Azam Fc saivi au simba queens yanga ni wachawi wanawachezea simba,akili so i am tired
 
Simba imecheza na team ya Madrasa huko Egypt.
Yanga tumecheza na Ausburg kutoka Bundasliga.

Hivi huko Egypt mbona Kuna team nyingi kwanini msijipime na Al Ahly, Pyramid, future, n.k ndo mkacheza na team ya chuo cha Madrasa
Kweli mbumbumbu ni mbumbumbu
Kumbuka mwaka jana, Simba ilikuwa inacheza na CSKA Moscow ya Russia (timu ya UEFA Champions League hii), Yanga ilikuwa inacheza na Friends Rangers ya Manzese

1721739077803.png
 
Back
Top Bottom