OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Huyu Kitenge
Hapa akajibiwa na Haji
Huyu naona hafai hata kuchambua rede. Akachambue tembele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnatumia uchawi laivu laivu? Mmetutia aibu sana kama taifa.
Hivi Mbona hakuna nchi Africa imewahi kuchukua kombe la dunia au kufika fainali kama uchawi ndio unacheza mpira?Mnatumia uchawi laivu laivu? Mmetutia aibu sana kama taifa.
Hivi Mbona hakuna nchi Africa imewahi kuchukua kombe la dunia au kufika fainali kama uchawi ndio unacheza mpira?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wazaramo achana nao kabisa wanakuaibisha dakika sifuri tuHaji mjanja sana eti wakuoe alaf kajifanya kakosea[emoji23][emoji23]
Yule nasikia yupo kwenye payroll ya timu moja kubwa hapa nchini, hivyo yupo tayari kujidharilisha kwa namna yoyote ileKitenge si ndio alimtambulisha Morison, ni kakanjanja fulani ambacho kanajifanya kanaweza kushindana na brand ya Simba. Huyu pia anawakilisha wale aliowasema Eymael
Aibu kubwa anatupa yanga. Since 1998 makund duuhMnatumia uchawi laivu laivu?
Mmetutia aibu sana kama taifa.