Huu ni udhalilishaji mkubwa kwa Dini za Kikristo. Clip Kutoka madhabahu ya GeorDavie

Last Seen

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
229
Reaction score
566
Video ya wadada wakiwa wanapita mbele yaa nabii mkuu na mawazi yasio ya heshima na yasiyostahili kwenye madhabahu ya Mungu.

Kuna haja ya kufungia baadhi ya huduma na kuweka vigezo vikali kwa wanaoongoza huduma hizo.

Shetani yupo duniani.

Your browser is not able to display this video.
 
Hakuna udhalilishaji wowote hapo.

Hiyo ni kuibua vipaji kanisani.

Mambo yanafanyika hadharani kabisa bila kificho kuna ubaya gani?

Ningekua na dini hapa ndio pa kusali na kupata burudani.

Mwisho, dini zote ni utapeli kama utapeli mwingine, mungu hayupo.
 
Kuna mwaka fulani pale msikiti wa mtambani ilikuwa ukipita nje tu ya msikiti na viunguo kama hao madada bakora zinakuhusu,,
Lakini najua wenzetu nyie huku tukihoji mtatuambia mungu anaangalia moyoni Sio mavazi ahh! Haya bhana
 
Ushawai kumsikia akimtaja YESU au aki recite Bible? Huyu mbona sio Mkristo, ni Motivational Speaker! Kusajiri taasisi za dini kunawasaidia wapigaji kukwepa kodi
 
Ushawai kumsikia akimtaja YESU au aki recite Bible? Huyu mbona sio Mkristo, ni Motivational Speaker! Kusajiri taasisi za dini kunawasaidia wapigaji kukwepa kodi
Ni sahihi, Ukristo umejengwa juu ya msingi wa Yesu mwenyewe. Hizo nyingi ni CULTS na zinajifungamanisha ja Ukristo ila sio wakristo. Wakristo hatupo hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…