Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nani mwenye haki ya kusema huyu ni mkristo au hapana? Kama yeye kaisajili taasisi yake kama ni ya Kikristo wewe ni nani utoe hukumu?Ushawai kumsikia akimtaja YESU au aki recite Bible? Huyu mbona sio Mkristo, ni Motivational Speaker! Kusajiri taasisi za dini kunawasaidia wapigaji kukwepa kodi
Kwahyo unataka afungiwe huduma yake!?Video ya wadada wakiwa wanapita mbele yaa nabii mkuu na mawazi yasio ya heshima na yasiyostahili kwenye madhabahu ya Mungu.
Kuna haja ya kufungia baadhi ya huduma na kuweka vigezo vikali kwa wanaoongoza huduma hizo.
Shetani yupo duniani.
View attachment 2685176
OyaaaLakini jamani mbona waafrica tulikuwa bush huko tunatembea uchi kwa nini vitu vidogo tuna mind
Anaangalia mapaja, siyo mipasuo. Mimi nimeona mapaja, sijaona mipasuoHuyu nabii feki ni mpuuzi, anachokifanya ni ujinga mtupu. Tena kakaa mbele peke yake anaangalia mipasuo mirefu ya mabinti hao