Huu ni udhalilishaji mkubwa kwa Dini za Kikristo. Clip Kutoka madhabahu ya GeorDavie

Ushawai kumsikia akimtaja YESU au aki recite Bible? Huyu mbona sio Mkristo, ni Motivational Speaker! Kusajiri taasisi za dini kunawasaidia wapigaji kukwepa kodi
Ni nani mwenye haki ya kusema huyu ni mkristo au hapana? Kama yeye kaisajili taasisi yake kama ni ya Kikristo wewe ni nani utoe hukumu?
 
Mjadala wa Mkataba wa DP World umetuchanganya, tumepoteana. Ngoja tuburudike na akina da........
Nabii yuko sahihi ili aturudishe katika akili zetu za kawaida.
 
Kwahyo unataka afungiwe huduma yake!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…