ufisadi ninaouzungumzia ni kwa kumpa zawadi mkuu wa shule ya sekondri ya bunda ya kuwa mfanyakazi bora wakati matokeo ya mtihani kidato cha nne kuna ziro 133 na hakuna hata division one. je ufanyakazi bora unatoka wapi?.
Pengine asingekuwa huyo mkuu watahiniwa wote wangeweza kupata zero. Pia utendaji wa kazi wa mwalimu unapimwa kwa vigezo vingi siyo kutumia matokeo ya wanafunzi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.