ENGINE CONTROL
Senior Member
- Nov 20, 2011
- 136
- 28
Wataalam kunakitu najiuliza sipati majibu.
Nimekuwa kila nikikojoa huwa najisikia raha sana kwenye mrija wa uume unaopitisha mkojo.
Pindi nikojoapo mkojo huwa unanistarehesha sana na kunisisimua kiasi kwamba raha niipatayo ni kama ile ya mwanaume pindi akiwa katika mechi anapokaribia/tafuta kufunga gori kiasi kwamba raha ya msisimuko huo hudum kwa mda hata wa dk nzima hata kama nimemaliza kukojoa.Hali hiyo imenifanya nivutiwe sana na kujisaidia haja ndogo.
Je huu waweza kuwa ugonjwa??
Na kama siyo ugonjwa hali hii husababishwa na nin??
Nimekuwa kila nikikojoa huwa najisikia raha sana kwenye mrija wa uume unaopitisha mkojo.
Pindi nikojoapo mkojo huwa unanistarehesha sana na kunisisimua kiasi kwamba raha niipatayo ni kama ile ya mwanaume pindi akiwa katika mechi anapokaribia/tafuta kufunga gori kiasi kwamba raha ya msisimuko huo hudum kwa mda hata wa dk nzima hata kama nimemaliza kukojoa.Hali hiyo imenifanya nivutiwe sana na kujisaidia haja ndogo.
Je huu waweza kuwa ugonjwa??
Na kama siyo ugonjwa hali hii husababishwa na nin??