Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ndugu wote natumaini hamjambo.
Naombe tuchangie hili kuna tatizo nimeliona kwangu baada ya kutumia cell phone kwa mda, Paja lina tetemeka (vibrate) kama kwamba kuna simu mfukoni.
Je, wenzangu limewatokea hilo?
Hebu tujiulize kama ni syndrome na kuwa na madhara baadae I mean uzeeni ina maana tutakuwa tunatembea tofauti na wazee wa zamani?
Wenyewe wametumia bakora Ku balance mwili sasa sisi tutatumia nini?
Maana sipati picha ukianza kutoa direction uka vibrate mwili mzima.
Naombe tuchangie hili kuna tatizo nimeliona kwangu baada ya kutumia cell phone kwa mda, Paja lina tetemeka (vibrate) kama kwamba kuna simu mfukoni.
Je, wenzangu limewatokea hilo?
Hebu tujiulize kama ni syndrome na kuwa na madhara baadae I mean uzeeni ina maana tutakuwa tunatembea tofauti na wazee wa zamani?
Wenyewe wametumia bakora Ku balance mwili sasa sisi tutatumia nini?
Maana sipati picha ukianza kutoa direction uka vibrate mwili mzima.