Huu ni ugonjwa gani katika macho

Huu ni ugonjwa gani katika macho

sumu-ya-panya

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2016
Posts
632
Reaction score
572
Habari Wana jamiiforums,

Kidogo Nina tatizo kwa mtoto wa miaka 4, Kuna muda macho Yana mwasha ,yanakua mekundu , kama unavyoona kwa picha,naomba kufahani ni ugonjwa Gani au hali gani.

Asante

IMG-20220608-WA0010.jpg
 
Hio ni allergy ya macho ukileta masihara mtoto atakua haoni, kama upo Dar mpeleke hospitali ya ekenywa magomeni kuna vitu hatotakiwa kula kwa muda fulani...na atapewa dawa fulani...
 
Back
Top Bottom