Huu ni ugonjwa gani?

Fizzo kidari

New Member
Joined
Mar 10, 2019
Posts
2
Reaction score
0
Nimekumbwa na miwasho sehemu za mwili hasa kwenye maungio sehemu za tumbo na kwenye mapaja bila vipele isipokuwa vipele vimetoka kwenye makende na kwenye mashine(uume). Vinawasha mno nikivichokoza na raha kuvikuna.


Hali hii haijaanza leo na nimeshapata vipimo zaidi ya mara moja ila havikuja na majibu yoyote na nimetumia dawa tofauti ila dawa za mwisho zilikuwa ni hizi:
CLARIX
NITROFURANTOIN
BEPROSALIC(hii ni ya kupaka)
Zikanipa matokeo mazuri vile vipele kwenye uume vikapotea na miwasho ikaisha ila baada ya muda kidogo baada ya kumaliza dawa vile vipele vimerudi sio vyote wala haviwashi sana kama mwanzo na ni kwenye uume tu kwingine miwasho imekwisha kabisa. Hospitali nilipima VDRL na HIV ila vipimo havikuwa na shida na ni zaidi ya mara moja. Havinipi homa zaidi ya kuwasha





Sent using Jamii Forums mobile app
 
QUOTE="Fizzo kidari, post: 30983752, member: 542370"]
Nimekumbwa na miwasho sehemu za mwili hasa kwenye maungio sehemu za tumbo na kwenye mapaja bila vipele isipokuwa vipele vimetoka kwenye makende na kwenye mashine(uume). Vinawasha mno nikivichokoza na raha kuvikuna.


Hali hii haijaanza leo na nimeshapata vipimo zaidi ya mara moja ila havikuja na majibu yoyote na nimetumia dawa tofauti ila dawa za mwisho zilikuwa ni hizi:
CLARIX
NITROFURANTOIN
BEPROSALIC(hii ni ya kupaka)
Zikanipa matokeo mazuri vile vipele kwenye uume vikapotea na miwasho ikaisha ila baada ya muda kidogo baada ya kumaliza dawa vile vipele vimerudi sio vyote wala haviwashi sana kama mwanzo na ni kwenye uume tu kwingine miwasho imekwisha kabisa. Hospitali nilipima VDRL na HIV ila vipimo havikuwa na shida na ni zaidi ya mara moja. Havinipi homa zaidi ya kuwasha





Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
Unatumia chumvi ya Aina gani?
Unakoga kwa maji ya mvua,kisima,dimbwi,bwawa
Mto au bomba?
 
Unatumia chumvi ya Aina gani?
Unakoga kwa maji ya mvua,kisima,dimbwi,bwawa
Mto au bomba?[/QUOTE]

Maji naoga ya bomba...chumvi ni hizi za kawaida


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…