Huu ni ujanja au ushamba?

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Nyanyinyiho nyutuma nywambie hujankuta πŸ˜‚
Huachi mtu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jaman au n wewe
 
🀣🀣🀣🀣 Hatareeee!!!
Nao hata kwa kumuangalia tu unajua huyu mtu hawezi kulipa bill, wanakubalije kutolewa lunch?? Hapo ilitakiwa huyo dada amwambie muhudumu achukue pesa kabisa.!!
 
🀣🀣🀣🀣 Hatareeee!!!
Nao hata kwa kumuangalia tu unajua huyu mtu hawezi kulipa bill, wanakubalije kutolewa lunch?? Hapo ilitakiwa huyo dada amwambie muhudumu achukue pesa kabisa.!!
Nilitaka kuandika comment kama yako yaani sura ya kidume inaonesha kabisa kajitahidi kulipa bill labla sodaπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
🀣🀣🀣🀣 Hatareeee!!!
Nao hata kwa kumuangalia tu unajua huyu mtu hawezi kulipa bill, wanakubalije kutolewa lunch?? Hapo ilitakiwa huyo dada amwambie muhudumu achukue pesa kabisa.!!
Wangine town muonekano wa kibosi ndo pakavu balaaa
 
Mtu asiye na pesa hata avae kitu gani atajulikana tyuuu..!! Wengine tuna macho ya rohoni 🀣
Wewe Lamomy Wewe usiseme hivoo futa mdomo huoo 🀣🀣🀣
Kuna matapeli Wana pumzi za Kipchoge Lamomy.....yaani anahakikisha lazima ujae tu na bili utaclear na kujikimu utampa mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…