Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Hivi mtu unatokaje huna hata mia? Aibu nyingine zinaepukika kuwa na akiba ya hela yako binafsi ni muhimu sana. Hii inawakumba sana Ke wengi.
Back up plan ni muhimu sana.
View attachment 2965962View attachment 2965963View attachment 2965964View attachment 2965965View attachment 2965967View attachment 2965968View attachment 2965970View attachment 2965971View attachment 2965973View attachment 2965975View attachment 2965976View attachment 2965977View attachment 2965979
alokutuma mwambie hujankuta ππ siogop na nshamuachaWe tikisa kiberiti tu, muache uone joto ya jiwe kumpata mwingine.
Kabisa chiefHii sasa ndio imekidhi viwango vya kuitwa HABARI KATIKA PICHA ππ
Nyanyinyiho nyutuma nywambie hujankuta πalokutuma mwambie hujankuta ππ siogop na nshamuacha
Labda ipo siku tuta attain hiyo level ya upendoHuo ndio unaitwa upendo wa kweli
ππππππππππππππππππ Jaman au n weweNyanyinyiho nyutuma nywambie hujankuta π
Huachi mtu
Wifi umeona π€£π€£π€£Mwanaume ana tabia mbaya
Nakuja na kimeo kaliii naicha room...nabeba Aitel ram 500 π€£Mwanaume akienda washroom aache simu yake mezani jifunzeni kina dada
Nilitaka kuandika comment kama yako yaani sura ya kidume inaonesha kabisa kajitahidi kulipa bill labla sodaππππ€£π€£π€£π€£ Hatareeee!!!
Nao hata kwa kumuangalia tu unajua huyu mtu hawezi kulipa bill, wanakubalije kutolewa lunch?? Hapo ilitakiwa huyo dada amwambie muhudumu achukue pesa kabisa.!!
Wangine town muonekano wa kibosi ndo pakavu balaaaπ€£π€£π€£π€£ Hatareeee!!!
Nao hata kwa kumuangalia tu unajua huyu mtu hawezi kulipa bill, wanakubalije kutolewa lunch?? Hapo ilitakiwa huyo dada amwambie muhudumu achukue pesa kabisa.!!
Mbona kuna sura zinaonyesha kabisa hapa ni tatizo π€£π€£π€£Nilitaka kuandika comment kama yako yaani sura ya kidume inaonesha kabisa kajitahidi kulipa bill labla sodaπππ
πππWifi umeona π€£π€£π€£
Yani nimecheka, huyo mdada alipe bill halafu amuite sehemu karibu na kwao amuitie mwizi wampe kipigo kufidia alichomfanyia.!! Wagawane maumivu πππ
Mtu asiye na pesa hata avae kitu gani atajulikana tyuuu..!! Wengine tuna macho ya rohoni π€£Wangine town muonekano wa kibosi ndo pakavu balaaa
Huyo unamuitia mwizi apewe kipigo mpk akasimulie kwao ππππππ
Wewe Lamomy Wewe usiseme hivoo futa mdomo huoo π€£π€£π€£Mtu asiye na pesa hata avae kitu gani atajulikana tyuuu..!! Wengine tuna macho ya rohoni π€£
Sema huyo dada naye kazidi sehemu ya kwenda na baby wako unaenda na best akipindua meza au jimbo ππHuyo unamuitia mwizo apewe kipigo mpk akasimulie kwao πππ
Huyo dada mjanja hapo katengeneza mazingira ya kubania mzigo πππSema huyo dada naye kazidi sehemu ya kwenda na baby wako unaenda na best akipindua meza au jimbo ππ