My Wii ninaaibu sana aisee Huwa Sina confidence ya kuongea kukiwa na watu wengi ila tukiwa wawili sawaWifi kwann hutaki kwenda na rafiki yako?? ππ
Nishajua unamtengenezea mazingira kaka ili umuharibie uvulana wake ππββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Unakunywa Nini ?Sinywagi fursana πππ
Wifi una kitu wewe!! π€£π€£π€£My Wii ninaaibu sana aisee Huwa Sina confidence ya kuongea kukiwa na watu wengi ila tukiwa wawili sawa
Kakaako simbaki aje tu mwenyew π
Maji πUnakunywa Nini ?
Weee sio mtu pure water kiviiile....inaoneka chozi la Simba ukipiga unashusha nondo Sana πMaji π
Naanzaje kunywa vitu huku umekunja sura πππWeee sio mtu pure water kiviiile....inaoneka chozi la Simba ukipiga unashusha nondo Sana π
Si unakamulia tu limao...halafu na kujifanya lete soda water hapaa πππNaanzaje kunywa vitu huku umekunja sura πππ
Hapana siwezi aiseee.!! Kwanza kwann binti nikanywe mivitu ya ajabu inayoumiza maini na figo?? Hiyo mivitu kwenyeni nyie makuli πππSi unakamulia tu limao...halafu na kujifanya lete soda water hapaa πππ
Mi sina hata kamchumba πππππππππππππππππππ Jaman au n wewe
Tuombe iwe hivyo mkuuLabda ipo siku tuta attain hiyo level ya upendo
π alafu mbona kama anataka kufanana na yule fulani ?Mwanaume ana tabia mbaya
Hiyo ni madhereu ππ€£π€£π€£π€£ Hatareeee!!!
Nao hata kwa kumuangalia tu unajua huyu mtu hawezi kulipa bill, wanakubalije kutolewa lunch?? Hapo ilitakiwa huyo dada amwambie muhudumu achukue pesa kabisa.!!
Mh semejiii πNilitaka kuandika comment kama yako yaani sura ya kidume inaonesha kabisa kajitahidi kulipa bill labla sodaπππ
leo picha ni uhakikaKwa huu uzi hatudai picha tena.
Mpira umeisha uko jirani ππππHiyo ni madhereu π
Na wao wanakosaje afu 3 x 2?
Jirani usijetuambia unajua hadi comments za wasio na pesa.Mtu asiye na pesa hata avae kitu gani atajulikana tyuuu..!! Wengine tuna macho ya rohoni π€£
Ya mpira yaache huko hukoMpira umeisha uko jirani ππππ
BravooooMwamba kaupiga mwingi mno. Bravo kwake.
π wamejaa kwenye mfumoManina. Wamekomeshwa