Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
- #141
Ushauri mzuri wa kufanyiwa kazi.Wenye watoto wa kike tujitahidi sana, hii ni aibu kwa mzazi pia, tunashindwa kulea watoto wetu hadi wanakuwa ombaomba mijini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri mzuri wa kufanyiwa kazi.Wenye watoto wa kike tujitahidi sana, hii ni aibu kwa mzazi pia, tunashindwa kulea watoto wetu hadi wanakuwa ombaomba mijini.
Wenzio wanapenda mfuatane kama mitume wa Yesu.Yani kitu nachukia ni kuitwa sehemu niende na rafikiyangu na hata tukiwa tuna safari moja lkn lazima nimwambie aende tutakutana huko mbele
🤣🤣🤣🤣🤣Ya mpira yaache huko huko
Ni kufikisha ujumbe.Plot hole kwenye script..
1..dada anaonekana anatumia smartphone so obviously restaurant wangechukua smartphone zao badala ya kuwapeleka polisi na kutumia gharama zaidi, wakileta pesa kesi imeisha.
So muandaaji hapo angeweka kisimu cha buku 12 siyo hiyo..
But all in all, jamaa is the legend.
Kwani mdoli au pochi ni sehemu ya mavazzi mkuu? Kwenda uchi ndio ushamba lakini kutioka plain kwa mwanamke ni kawaida sana. Haya mambo ya kubeba vipochi kila mahali yamewafanyza wanawake kuwa watumwaHivi mtu unatokaje huna hata mia? Aibu nyingine zinaepukika kuwa na akiba ya hela yako binafsi ni muhimu sana. Hii inawakumba sana Ke wengi.
Back up plan ni muhimu sana.
View attachment 2965962View attachment 2965963View attachment 2965964View attachment 2965965View attachment 2965967View attachment 2965968View attachment 2965970View attachment 2965971View attachment 2965973View attachment 2965975View attachment 2965976View attachment 2965977View attachment 2965979
😂😂😂😂 wote njaa zimewajaaHiyo ni madhereu 😂
Na wao wanakosaje afu 3 x 2?
Sijui sijakuelewaKwani mdoli au pochi ni sehemu ya mavazzi mkuu? Kwenda uchi ndio ushamba lakini kutioka plain kwa mwanamke ni kawaida sana. Haya mambo ya kubeba vipochi kila mahali yamewafanyza wanawake kuwa watumwa
Kina mwa fulani hao 😂😂😂😂😂 wote njaa zimewajaa
😁😁😁Anataka kufanana kisura au tabia😂 alafu mbona kama anataka kufanana na yule fulani ?
Kisura, tabia unataka unigombanichee 😂😁😁😁Anataka kufanana kisura au tabia
Ngoja nipitie tena kuona sura kumbe una mjua mi hata sura sijui😁😁Kisura, tabia unataka unigombanichee 😂
Kwani unamzungumzia nani? 😂 sio huyo we naeNgoja nipitie tena kuona sura kumbe una mjua mi hata sura sijui😁😁
Hakikisha unamtafutia na wa kumuoa kama atahitaji, kama anapenda kuwa single mother it's OkKabisa mkuu nikikaangalia kabinti kangu na hili wimbi la wahuni na ugumu wa maisha , ndio napata hasira yakukawekezea ,vitu ambavyo hata kuja kubabaishwa na vigari used hata siku moja.
😂yan nkupende afu nkuache kwel, kwaio unataka kufanyiwa one and two testingMi sina hata kamchumba 😂
Labda tupendane alafu ndio uniache
Sasa mimi sina huyo mchumba utasemaje labda ni mimi? Afu mi sio bichwa maji.😂yan nkupende afu nkuache kwel, kwaio unataka kufanyiwa one and two testing
😂😂tunaharibu uzi wawatu,,man nilchotaka kuandka apa🙌🏾🙌🏾Sasa mimi sina huyo mchumba utasemaje labda ni mimi? Afu mi sio bichwa maji.
Muite huyo mwenye uzi wake, we andika unaogopa nini au andika pm.😂😂tunaharibu uzi wawatu,,man nilchotaka kuandka apa🙌🏾🙌🏾
😂😂🚶🏾♀️🚶🏾♀️Muite huyo mwenye uzi wake, we andika unaogopa nini au andika pm.
Uzi ni wangu hauaribiki😂😂🚶🏾♀️🚶🏾♀️
unaniaminisha mara paaaap natafta id mpya uuuuweeeehUzi ni wangu hauaribiki