mhh! mtu ambaye:-
1. kawatoa wasani wawili mavumbini hadi kuwa mastaa wakubwa kuliko baadh ya waliokaa kwenye game miaka kumi na ushee...
2. ameajiri vijana si chini ya thelathini na kuwalipa mishahara kiasi cha kujenga na kumilika usafiri...
3. ameweza kuleta mapinduzi ya mziki kuwa biashara (kuongeza thaman ya msanii)
4.. N.K
HAYA NGOJA TUWE MAKINI NAYE BASI MKUU
Sorry, mimi SIPO TIMU YYT ya muziki, ila ni shabiki wa timu ya Arsenal.
Naomba kutofautiana na wewe hapo kwenye namba 2. Kuajiri watu ni jambo moja, na kununua hayo magari na kujenga ni jambo jingine.
Lazima ufahamu kwmb na yeye anafaidika sn na kuwa na hao vijana. Mimi na wewe HATUJUI NI KIASI GANI WANANYONYWA.
Ni watumishi wangapi wameajiriwa na wana magari na nyumba, but they are still complaining..???
Wat if jamaa akawa anawakandamiza na hataki wawe ma-star kma yeye cz anaamin watamfunika ila anachofanya ni kuwahakikishia wanakuwa smart ili kumaintain jina la WASAFI. Who knows??
Kwa mtu anayeingia mkataba wa billions of money, wat is gari na nyumba bana..!!
Nadhani ni ndoto ya kila upcoming artist, nyimbo yke kupigwa CLOUDS. Sijui, bali nadhani pia Clouds na Diamond ni damu damu. Wat if ukazingua kwake WCB, halafu akaziba nyimbo zako kupigwa clouds?? Hudhani labda wapo wanaotamani kutoka ila wanaogopa kitu kma hicho??
Binafsi kinachoniboa kwa wale watoto ni kujaribu kumuiga Diamond kila kitu, hasa yule Rayvan. Kuanzia jinsi ya kucheza mpka wanavyobetua mdomo. Nadhan angetoka kivyake vyake ingependeza zaidi.
Ni hayo tu.