Huu ni ujumbe kwa Wasanii wote wa mziki, Diamond hafai kuweni naye makini

Huu ni ujumbe kwa Wasanii wote wa mziki, Diamond hafai kuweni naye makini

Kwenye Sporah Kiba aliulizwa naye akasema anarudi kusafisha kiti chake cha ufalme na kuketi tena.what's wrong with that ?
Isikilize interview yote usiongizwe na ushabiki izi ni baadhi ya dis zake kwa mond

Kizuri kikikosekana hata kile kibaya huonekana kizuri apo nambie alikuwa anamlenga nani

Nakuja kufuta kiti.na kukikalia upya maana hakuna aliyekuwa amekikalia labda kilikuwa na vumbi nikufuta na kukaa upya

Usinifananishe na diamond labda mfananishe na abdul kiba ndo level zake na kama tuko kwny seat labda yy back seat

Na dis nying tu aliziolopoka ila kwa kuwa ww una chuki na domo huwezi kuziona, juzi kati kamdis mwenzie kuwa ni debe tupu haliachi kupiga kelele usiwe bias kaka
 
Wasaniii wa zamani gani unaosema kuwa hapendi waendeleee???? Dully yu wap mavoko nae je? Kuwa makini unaposema kitu
 
Uandishi wako tu hasa ulivyoanza hapo mwanzo utafikiri hujasoma kiswahili, Hamna cha koma wala nukta, kiukweli mimi sijakuelewa hasa ulivyoanza, kama vipi rudi shule mkuu
Huyu atakuwa team ileeee ile ya kina naniliu wale wenye kale ka mchezo. Manake wanakuja kwa speed sana.
 
Kwanza niweke wazi miye sipo timu yoyote ile ila ni mdau wa huu mziki tangu unaanza kukubalika nimekuwa mdau kabla

Prof Jay ajatoka
Gangwe mob, juma nature hawajatoka

Mda mabaga fresh wapo hot nature ajulikani

Enzi za mama mwenye nyumba nk

Sogy dog dog hunter, CAZ T wanasumbua walk man zetu

nk kwaiyo kidogo historia ya mziki huu tangu uanze kulipa naijuia

Sasa nachotaka kusema nini diamond ni msanii mzuri, ana uwezo mzuri sana ila tatizo moja Kijana hajiamini anataka yeye awe yeye tu hilo ndio tatizo lake yeye na uongozi wao hawataki kubali changamoto ambazo ndio zilizowezesha diamond akatoka kimuziki endapo wasanii waliotangulia wangekuwa na roho ya husda kama yake diamond asingetoka

Diamond na uongozi wake hawataki kuona msanii mpya au wazamani anachukua nafasi ya kimuziki yani msanii asikike kazi zake hii ipo wazi kabisa

Kwaiyo wasanii mnatoa nyimbo angalieni hilo suala katika promo zenu msije kuta nyimbo zenu nzuri ila zinafanyiwa figisu ili zisitambe kwa lengo moja tu nyimbo nzuri zikiwa nyingi basi upo uwezekano jamii ikamzoea diamond nikaona kawaida tu hivyo juhudi zimekuwepo kuhakikisha nyimbo nzuri za wasanii wengine hazipati nafasi ili diamond akiachia wimbo usumbue hii ipo wazi

Na hii nimebaini baada ya huu ugovi wa hawa watu diamond na omy dimpoz yani baada ya dimpoz na kiba kuachia wimbo nyie mmeona kama diamond alipanic hivi kaachia nyimbo kwa fujo

Kaenda media kaongea vitu vya ajabu kwa level yake kimuziki ili budi astilli maneno ila Kijana kapanic

Hivyo wasanii angalieni huyu Kijana si mzuri kabisa

Fikilia hizo tabia angekuwa nazo

Dully
Prof
Nk
Je wasanii kama kina diamond wangesikika

Ni mtazamo tu yani kuwa na tabia ya wao kutaka kuwa wao tu
Unataka awafanyie nini? Onesha na uelekeo kama anasoma ajue wapi kwenye mapungufu, cyo majungu
 
Sasa hivi ana kidunguli
1480188962716.jpg
 
Mtu mbaya katika muziki wetu ni BABU TALE... Adhabu Yake afungwe jiwe zito atupwe kwenye kina kirefu cha bahari... Amewamaliza Tunda man. Kassim mganga. Zed anto.Mb dog.etc.. Naamini hata leo domo akimtosa atashuka kimuziki
 
Anayeongea anaishi kwa mama bado...unayemsema kajenga jumba na kanunua jumba jingine south....kawapa ajira vijana zaid ya 300...lakin baba ako na mama ako hawajafanya kitu chochote. Hata kutoa ajira kwa kijana wao mpendwa hamna zaidi umebarikiwa chuki kwenye mitandao
Vijana 300..acheni kukuza mambo nyie wanaume wa dar
 
Tip top, AY, YAMOTO, Diamond &WCB wapo chini ya the same managers. Hivi hujawahi jiuliza kwann diamond na wasafi yake yuko mbali compared na hao wengine ilihali wote wapo chini ya the same managers???
kweli kabisa, hata baraka da prince na alikiba wako under same management. hivi hizo akili huwa mnashikiwa?
 
Watanzania tunapenda maendeleo ila tunawachukia wenye maendeleo.
 
muziki ni biashara,hivi kwa akili yangu hii ya darasa la pili,unafikir sijui kwa nini mengi na manji hawaelewan?najua kila mtu anajali maslahi yake.na ndio maana unaambiwa kila mtu ni mbinafsi.
 
mhh! mtu ambaye:-
1. kawatoa wasani wawili mavumbini hadi kuwa mastaa wakubwa kuliko baadh ya waliokaa kwenye game miaka kumi na ushee...

2. ameajiri vijana si chini ya thelathini na kuwalipa mishahara kiasi cha kujenga na kumilika usafiri...

3. ameweza kuleta mapinduzi ya mziki kuwa biashara (kuongeza thaman ya msanii)

4.. N.K


HAYA NGOJA TUWE MAKINI NAYE BASI MKUU
He he muziki wa magazeti huu
 
Mmmmmmhh kuna watu mna roho za koroshooo khaaaa...
 
Ukitaka kujua huyu mtoto wa Tandale hana maana na nina muunga mkono mleta mada ni kwa haya yafuatayo:-
1.Sijawahi kumsikia Ali Kiba akimzungumza Diamond zaidi ya lile sakata la kuzimiwa mike Mombasa. Lakini yeye kafanya diss track dhidi ya kiba zaidi ya mara moja.Alimdiss kiba kwa beat ya Fat Joe all the way up na sasa kamdiss kwenye kokoro.
2.Aliyeanza kupost diss Instagram ni Diamond then Ommy akafuata kwa kusema mziki wa ujanja ujanja.Lakini cha kushangaza alidisiana naye Insa ni Ommy lakini kama ulisikiliza interview yake kamdiss sana Kiba pia.

Sasa kwanini watu wasiseme kuwa Diamond hapendi maendeleo ya wengine!!

Kitu cha kishangaza zaidi watu walio wengi wameegemea upande mmoja.Wanadai Kiba anatafuta Kik kupitia Diamond. Kama hili lingekuwa kweli tungekuwa tunamuona Ali Kiba akimtaja,kumjibu au kumdiss Diamond lakini Kiba yupo kimya siku zote.Sasa nani kati yao anayetaka Kik kama sio huyu Diamond ambaye haishi kutoa diss track dhidi ya kiba pamoja na kumsema kwenye interviews.
wewe wa dunia gani? pitia hapa

EXCLUSIVE: Majibu ya Alikiba kuhusu kolabo yake n…: then pitia interview ya kiba the sporah show ndio utajua kuwa kiba kachonga sana kuhusu chibu sema alikaliwa kimya tu.. zamu yao sasa acha awachane tu ila wawe na mioyo na WAP.
 
timu yko ishajulkana uzi wa kishabiki kabsa....me ofcoz cmkubali kbs diamond ila napenda baadh ya nyimbo zke...dogo anajituma sn lkn wasanii wenzake mara nying ndo uwa wanaanza kumchokonoa chokonoa....alikua anakaa kimya ila hili la dimpoz ikabd alijibu kwa kupanic na matuc.....apo alikosea sn na alinkera sn kujibishana
point.......mi .penda mafanikio yake hayupo.tena ktka kund la dependent

kuna watu WaPo humu ndani wamemlza chuo WaPo nyumban anaomba hela ya vocha halafu
Leo unamkandi diamond ni upumbuvu na ujinga.

Tujitambue watz ulitaka.abaki maskin kama wwe dah .

let's change (environment changes behaviour )kwahyo tubalke
 
mliwahi kukutana kwa waganga nawatu wa aina hiyo kutafuta ushirikina
kama jibu ni hapana wewe umejuaje.

Au tuchukulie swala hilo kuwa ni la kweli....
yaani uwafanyie ushirikina mashabiki nchi nzima
uwafanyie ushirikina watu wa radio station
uvuke mipaka nchini kenya congo n.k kote huko uwafanyie ushirikina wadau wa muziki wakupende wewe tu hata wasisikilize miziki ya kina ben p?

haya yatakuwa maajabu ya karne
Am only responsible for wat am saying not what you understand.. .....
 
Mleta mada alikuwa na maana nyingine kabisa ambapo watu wameshindwa kuielewa ajili ya kutawailiwa na ushahabiki usiokuwa na msingi.

Kwa kweli kwa hali hii hatuwezi kufauru hata pale tutakapojadili mambo ya msingi ya kitaifa kwa sababu ya mihemko isiyokuwa na tija.
 
Back
Top Bottom