Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Aisee [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Soka la bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa, huyo Bigirimana kama mtu kweli ataonekana dimbani, uwe fundi wa mpira ulaya halafu uje bongo, kweli wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Utopolo mambo ya kutambulisha mchezaji kwenye mikutano ni mambo ya kishamba kabisa.
KweliAkili mtu wangu.
Unateseka ukiwa wapi?Soka la bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa, huyo Bigirimana kama mtu kweli ataonekana dimbani, uwe fundi wa mpira ulaya halafu uje bongo, kweli wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Utopolo mambo ya kutambulisha mchezaji kwenye mikutano ni mambo ya kishamba kabisa.
Alex Song Yuko wapi saiz na wakat kacheza EPL,la Liga,ligue oneSoka la bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa, huyo Bigirimana kama mtu kweli ataonekana dimbani, uwe fundi wa mpira ulaya halafu uje bongo, kweli wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Utopolo mambo ya kutambulisha mchezaji kwenye mikutano ni mambo ya kishamba kabisa.
Yuko kwa mkopo west hamAlex Song Yuko wapi saiz na wakat kacheza EPL,la Liga,ligue one
Una uhakika?Yuko kwa mkopo west ham
Yupo somewhere kama sio Djibouti basi Eritrea anacheza ligi za hukoAlex Song Yuko wapi saiz na wakat kacheza EPL,la Liga,ligue one
Yupo As Alta, DjiboutiYuko kwa mkopo west ham
Yuko kwa mkopo west ham
Google wanadanganyaYupo As Alta, Djibouti
Wewe mkeo au mmeo ulimtambulisha chooni?Soka la bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa, huyo Bigirimana kama mtu kweli ataonekana dimbani, uwe fundi wa mpira ulaya halafu uje bongo, kweli wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Utopolo mambo ya kutambulisha mchezaji kwenye mikutano ni mambo ya kishamba kabisa.
Soka la bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa, huyo Bigirimana kama mtu kweli ataonekana dimbani, uwe fundi wa mpira ulaya halafu uje bongo, kweli wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Utopolo mambo ya kutambulisha mchezaji kwenye mikutano ni mambo ya kishamba kabisa.
SawaGoogle wanadanganya
Juzi hiyo club ya Djibouti wamempost kwenye fb page yao