Alexprosper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,286
- 6,110
Poa poaSawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa poaSawa
Itakuwa labda ameshaenda kwasababu hiyo ya Google ilikuwa 26 AprilJuzi hiyo club ya Djibouti wamempost kwenye fb page yao
Mboa sisi Simba tunateseka.Katambulishwa kwa wapiga kura, kapiga kampeni, lakini jamani kilichofanyika sio sawa hata kama unaipend timu vipi ilikuwa sio sawa.
Lakini wana haki ya kufanya lolote hata ni maamuzi ya wanachama , klabu yao imenunuliwa na wao maskini - atakalo fanya tajiri ni sawa tu.
Tena mengi yanakuja haya huenda nafuu.
Bwashee hiyo inaitwa mbinu za Medani au siasa za mpira😂😂, Aliyekuwa akitambulishwa pale ni MKANDARASI aliyekuwa akitambulisha. Kwamba kwa nini asipewe Urais hali kuwa ametuletea Mchezaji aliyetemwa ulaya😂😂. Bila kujizuia Msema ovyo akamtangaza kabisa aitwe Rais😂😂Soka la Bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza Ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa, huyo Bigirimana kama mtu kweli ataonekana dimbani, uwe fundi wa mpira ulaya halafu uje Bongo, kweli wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Utopolo mambo ya kutambulisha mchezaji kwenye mikutano ni mambo ya kishamba kabisa.
Mboa sisi Simba tunateseka.
Yanga wana Rais wao wamemchagua kwa kura, sisi Simba tuna Rais wetu tena tunamwita wa Heshima ambaye tumempa hajapigiwa kura.
Sasa yupi hapo wenye timu ni mbunbumbu?
Hiyo ilikuwa ni ghilba na rushwa dhahiri kwa wapiga kura.TAKUKURU kamata,hoji,chunguza na fungulieni mashtaka hao matapeli waliofanya hivyo.Soka la Bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza Ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa, huyo Bigirimana kama mtu kweli ataonekana dimbani, uwe fundi wa mpira ulaya halafu uje Bongo, kweli wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Utopolo mambo ya kutambulisha mchezaji kwenye mikutano ni mambo ya kishamba kabisa.
Basi hata huyu anastahili kucheza ligi ya Somalia na Djibouti . Hapa bongo mtamkataa wenyewe . Tusubiri muda utaongeaYupo As Alta, Djibouti
[emoji23][emoji23][emoji23]Tuoumia ni sisi Makolo jamani,Mwamedi tuone huruma.
Katiwe hukoWewe mkeo au mmeo ulimtambulisha chooni?
Huyu kwenye dirisha dogo Yanga tunamshusha Bongo.
Acha kuteseka kwa vitu visivyo kuhusu. Maana utakufa kabla ya wakati wako.Soka la Bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza Ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa, huyo Bigirimana kama mtu kweli ataonekana dimbani, uwe fundi wa mpira ulaya halafu uje Bongo, kweli wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Utopolo mambo ya kutambulisha mchezaji kwenye mikutano ni mambo ya kishamba kabisa.
Si ungeenda kuchukua fomu ya kugombea ili uchuane naye kwenye hiyo nafasi?Yupi aliyepigiwa kura? Kura ya mtu mmoja si ni hadaa tu kama hadaa zingine ili kuhalalisha tu!
Westham ipi hiyo?