Huu ni ulimbukeni wa kiwango cha juu sana. Tangu lini mchezaji akatambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi?

Uto... wameokota Dodo chini ya mpera
Nyie endeleeni kuchezea shilingi chooni, Kwa usajili mnao ufanya zipo Dalili za timu kushuka Daraja.
Sasa msitegemee Yanga awe anafanya kazi ya kuwabeba Ili msishuke Daraja kama Walivyo fanya 1989. Acheni siasa fanyeni usajili, msimu ujao ni mgumu kuliko huu ulio Isha.
Mtakuja kumlaumu Karia bila Sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…