Huu ni upendo wa hali ya juu

Huu ni upendo wa hali ya juu

Sina mood

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
248
Reaction score
1,442
Nimekaa nimetafakari nimegundua Walevi tuna umoja sana

Toka nitangaze kuacha pombe wengi wamenifuata inbox kuniomba nirudi kundini

Lakini kuna wengine wamenitisha sana tena hadharani

Kuna waliosema nikiacha pombe nitakufwa, kuna waliosema nikiacha pombe nitakua mchawi na kuna wengine wakafika mbali na kusema nitashindwa kupiga mnada

Sasa ili siwakwaze marafiki zangu nimeamua kurudi kundini. Naomba mnisamehe sintorudia

Nimekosa mimi, nimekosa sana. Kwa mawazo , kwa vitendo na kwa kutotimiza wajibu wangu wa kununua bia....
 
Walevi Kweli wanakuwaga na umoja Sana.

Ukitaka kujua hilo ngoja mmoja wao afe especially huko vijijini.Utaona wenzie watakavyouhangaikia msiba wake mpaka shughuli nzima ya ya mazishi itakapomalizika.
 
Walevi Kweli wanakuwaga na umoja Sana.

Ukitaka kujua hilo ngoja mmoja wao afe especially huko vijijini.Utaona wenzie watakavyouhangaikia msiba wake mpaka shughuli nzima ya ya mazishi itakapomalizika.
Kuna jirani chapombe balaa...alikosekanika ofisini toka asubuhi hawajui yuko wapi..jana yake alikua bwax...walifanya juu chini wafike kwake..na kweli wakamkuta alipata ajali walati anarudi home ..mkono mpaka leo haunyooki🤣
 
Back
Top Bottom