Huu ni ushabiki au ujinga ?

Mkaruka

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
19,629
Reaction score
34,199
Hii siyo stage ya kawaida.
 

Attachments

  • carrymastory_20201017_1.mp4
    1.9 MB
Mbona kama hakuna mwanaume hapo?Aisee hawa vijana wanapotea kwa kasi ya ajabu sana.
 
Ni kawaida hio.
Sema hapo kwa huyo jamaa hakuna mwanaume hapo
 
Hiyo ya kubadili dini kisa msanii Ni hatua mbaya sana
Dini kitu gani jombaa, si makaratasi tu ukiamua unaachanaaa nayooo, watu wana abuduuu watu, itakuwa ajabuu kubadili dini, nakwambiaaa dini ni kilevi tu, ukichoka unabadili kilevi kingine, hakuna tatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…