Huu ni ushenzi!!!!...narudia tena huu ni ushenzi!!!!

Kuna timu nasikia imeanzisha ligi ya timu 3 ....huu ni ushenzi
 
Kuandika kwa kutoa povu nao pia ushenzi [emoji1787][emoji28] hapo vipi ngoma draw eeh harafu huyo nanyuti[emoji2957][emoji1751][emoji125]
[emoji38][emoji38][emoji38] kunyuti nao ni ushenzi hapo vipi [emoji23]
 
Eeeeeh uwo ni ushenzii[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi 5 tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapa nipo na mazungumzo na familia ya Marehemu mmoja aliyekataaga kunilipa Deni, walilipe wao. Wamehitaji Maevidenso nikawamwagia.

Ee Mungu nisaidie nisife na Deni.
Yeyote atakayepita hivi na Deni familia take italipia hata kizazi Cha Nne!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…