Hakuna kocha mwenye hesabu kubwa kwenye hizi mechi za mwisho kama JOSEP PEP GUARDIOLASiyo rahisi. Guardiola ana mechi mkononi na akishinda tu hicho kiporo tayari anaongoza ligi! Na tunamfahamu kwenye hizi mechi za mwisho! Ka Arteta kamejitutumua lakini hakana bahati!
Kwamba huwa unakubali kufungwa ? Yaani mnapanga nani ashinde kama WWEHuu ubingwa wa kutegemea mwenzio apoteze hauna tija. Liverpool alijichanganya kukubali kufungwa na timu dhaifu. Utafungwaje home na crystal palace? Utafungwaje kwenye Derby wakati wewe unatafuta ubingwa? Utatokaje draw na West ham? Hizi mechi zote alitakiwa ashinde!
Mkuu hivi Matokeo ya ArsenalNDOO umeyapata au bado?Mzuka Wanajamvi!
2019 nilitabiri humu humu jamvin Liverpool itaifunga Barcelona 4-3 nusu fainali mechi ya marudio UEFA champions league na kuchukua UEFA dhidi ya Tottenham fainali.
Nilibezwa na kutukanwa kwasababu mzunguko wa kwanza Barcelona ilikuwa ikiongoza 3-0. Na ilikuwa favourite. Liverpool kusonga mbele fainali ilibidi ifunge Barca 4-0 na kabla ya mechi nilitabiri na ikawa hivyo.
Sasa leo natabiri bado tu liverpool ubingwa ni wao ligi kuu uingereza.
Manchester city mechi zake zilizosalia moja ata draw na nyingine atafungwa. Arsenal leo atafungwa na Tottenham na nyingine atadraw.
Na mechi zingine liverpool alizosalia atashinda zote na kutwaa ubingwa.
Senior JF local and international sports analyst and correspondent.
mkorea Chaliifrancisco MAWEED
UTABIRI WAKO BADO UNAONA ITAWEZEKANAMzuka Wanajamvi!
2019 nilitabiri humu humu jamvin Liverpool itaifunga Barcelona 4-3 nusu fainali mechi ya marudio UEFA champions league na kuchukua UEFA dhidi ya Tottenham fainali.
Nilibezwa na kutukanwa kwasababu mzunguko wa kwanza Barcelona ilikuwa ikiongoza 3-0. Na ilikuwa favourite. Liverpool kusonga mbele fainali ilibidi ifunge Barca 4-0 na kabla ya mechi nilitabiri na ikawa hivyo.
Sasa leo natabiri bado tu liverpool ubingwa ni wao ligi kuu uingereza.
Manchester city mechi zake zilizosalia moja ata draw na nyingine atafungwa. Arsenal leo atafungwa na Tottenham na nyingine atadraw.
Na mechi zingine liverpool alizosalia atashinda zote na kutwaa ubingwa.
Senior JF local and international sports analyst and correspondent.
mkorea Chaliifrancisco MAWEED
Habari kaka.Nilichogundua Ulaya mna mbegu za majani ya Chuga mkuu sio kwa ubaya lakini ni majani ya Mzuka...
OK sawa nenda maduka ya wahindi wana mchele wao unatoka India ni mzuri au nenda maeneo walipo wasomali wanajua sehemu za mchele mimi mwezi ujao ntakua JHB kama ntabeba mchele ntakujulisha ntakujulisha ntakutumia huko utarudisha hela ya kununua tu...Habari kaka.
Nipo Cape Town miezi kadhaa sasa,
Naulizia mchele gani mzuri niwe nanunua.
Nimejaribu kupika wali mara kadhaa unatoka vibaya, tena ukipoa unakua kama plastic.
Wewe unapokua South huwa unanununua mchele brandi gani mzuri?
Nilinunua huu hapa chini kila nikipika ukipoa unakua kama plastic.
Ama natakiwa ninunue ule mchele wa rangi ya brown? Ningejuaga ningebeba kilo 23 wakati natoka bongo.
View attachment 2976345
Au uulize maduka ya WamalawiHabari kaka.
Nipo Cape Town miezi kadhaa sasa,
Naulizia mchele gani mzuri niwe nanunua.
Nimejaribu kupika wali mara kadhaa unatoka vibaya, tena ukipoa unakua kama plastic.
Wewe unapokua South huwa unanununua mchele brandi gani mzuri?
Nilinunua huu hapa chini kila nikipika ukipoa unakua kama plastic.
Ama natakiwa ninunue ule mchele wa rangi ya brown? Ningejuaga ningebeba kilo 23 wakati natoka bongo.
View attachment 2976345
Utabiri umekwama mpaka sasa, au tuendelee kuwa na matumaini?Mzuka Wanajamvi!
2019 nilitabiri humu humu jamvin Liverpool itaifunga Barcelona 4-3 nusu fainali mechi ya marudio UEFA champions league na kuchukua UEFA dhidi ya Tottenham fainali.
Nilibezwa na kutukanwa kwasababu mzunguko wa kwanza Barcelona ilikuwa ikiongoza 3-0. Na ilikuwa favourite. Liverpool kusonga mbele fainali ilibidi ifunge Barca 4-0 na kabla ya mechi nilitabiri na ikawa hivyo.
Sasa leo natabiri bado tu liverpool ubingwa ni wao ligi kuu uingereza.
Manchester city mechi zake zilizosalia moja ata draw na nyingine atafungwa. Arsenal leo atafungwa na Tottenham na nyingine atadraw.
Na mechi zingine liverpool alizosalia atashinda zote na kutwaa ubingwa.
Senior JF local and international sports analyst and correspondent.
mkorea Chaliifrancisco MAWEED
Ikawaje pale London?Mzuka Wanajamvi!
2019 nilitabiri humu humu jamvin Liverpool itaifunga Barcelona 4-3 nusu fainali mechi ya marudio UEFA champions league na kuchukua UEFA dhidi ya Tottenham fainali.
Nilibezwa na kutukanwa kwasababu mzunguko wa kwanza Barcelona ilikuwa ikiongoza 3-0. Na ilikuwa favourite. Liverpool kusonga mbele fainali ilibidi ifunge Barca 4-0 na kabla ya mechi nilitabiri na ikawa hivyo.
Sasa leo natabiri bado tu liverpool ubingwa ni wao ligi kuu uingereza.
Manchester city mechi zake zilizosalia moja ata draw na nyingine atafungwa. Arsenal leo atafungwa na Tottenham na nyingine atadraw.
Na mechi zingine liverpool alizosalia atashinda zote na kutwaa ubingwa.
Senior JF local and international sports analyst and correspondent.
mkorea Chaliifrancisco MAWEED
Sure labda city akaziwe mechi moja, EPL imeanza kuboa city kila mwakaSiyo rahisi. Guardiola ana mechi mkononi na akishinda tu hicho kiporo tayari anaongoza ligi! Na tunamfahamu kwenye hizi mechi za mwisho! Ka Arteta kamejitutumua lakini hakana bahati!
Hizo kilo 23 ndio ungekula muda wote uliopo huko SA!?Habari kaka.
Nipo Cape Town miezi kadhaa sasa,
Naulizia mchele gani mzuri niwe nanunua.
Nimejaribu kupika wali mara kadhaa unatoka vibaya, tena ukipoa unakua kama plastic.
Wewe unapokua South huwa unanununua mchele brandi gani mzuri?
Nilinunua huu hapa chini kila nikipika ukipoa unakua kama plastic.
Ama natakiwa ninunue ule mchele wa rangi ya brown? Ningejuaga ningebeba kilo 23 wakati natoka bongo.
View attachment 2976345
Sasa leo natabiri bado tu liverpool ubingwa ni wao ligi kuu uingereza.
Manchester city mechi zake zilizosalia moja ata draw na nyingine atafungwa. Arsenal leo atafungwa na Tottenham na nyingine atadraw.
Ndoto mchana kweupeeMzuka Wanajamvi!
2019 nilitabiri humu humu jamvin Liverpool itaifunga Barcelona 4-3 nusu fainali mechi ya marudio UEFA champions league na kuchukua UEFA dhidi ya Tottenham fainali.
Nilibezwa na kutukanwa kwasababu mzunguko wa kwanza Barcelona ilikuwa ikiongoza 3-0. Na ilikuwa favourite. Liverpool kusonga mbele fainali ilibidi ifunge Barca 4-0 na kabla ya mechi nilitabiri na ikawa hivyo.
Sasa leo natabiri bado tu liverpool ubingwa ni wao ligi kuu uingereza.
Manchester city mechi zake zilizosalia moja ata draw na nyingine atafungwa. Arsenal leo atafungwa na Tottenham na nyingine atadraw.
Na mechi zingine liverpool alizosalia atashinda zote na kutwaa ubingwa.
Senior JF local and international sports analyst and correspondent.
mkorea Chaliifrancisco MAWEED