Huu ni utabiri wangu Liverpool atakuwa bingwa Ligi uingereza

OK sawa nenda maduka ya wahindi wana mchele wao unatoka India ni mzuri au nenda maeneo walipo wasomali wanajua sehemu za mchele mimi mwezi ujao ntakua JHB kama ntabeba mchele ntakujulisha ntakujulisha ntakutumia huko utarudisha hela ya kununua tu...
Nashukuru sana mkuu.
Utanijulisha ikiwa hivo.

Naonaga wadau wanakuuliza maswali unatoa ushirikiano mzuri.

Big up sana.
 
Man City anachukua ubingwa.
 
Nashukuru sana mkuu.
Utanijulisha ikiwa hivo.

Naonaga wadau wanakuuliza maswali unatoa ushirikiano mzuri.

Big up sana.
Ungeweza ungefatilia hizo sehemu nilizosema uende maana mimi nakuja kabla ya tarehe 10 ,May Wa Malawi huwa wanauza mchele bei ya kawaida tu hapo Jhb inawezekana hata huko ni hivyo hivyo kama wapo wengi maana wao wanakua kama wanauziana wao kwa wao...
 
Ungeweza ungefatilia hizo sehemu nilizosema uende maana mimi nakuja kabla ya tarehe 10 ,May Wa Malawi huwa wanauza mchele bei ya kawaida tu hapo Jhb inawezekana hata huko ni hivyo hivyo kama wapo wengi maana wao wanakua kama wanauziana wao kwa wao...
MREJESHO:
Nimepata chimbo la mchele mzuri. Maeneo ya Salt River panaitwa Fargo Trading (Indian Store).

Niliingia mybroadband forum nikaulizia wa-Sauth wakanielekeza.
Asante sana mkuu. Sasa maisha muruaaa (ingawa hakuna dagaa Cape Town)
 
MREJESHO:
Nimepata chimbo la mchele mzuri. Maeneo ya Salt River panaitwa Fargo Trading (Indian Store).

Niliingia mybroadband forum nikaulizia wa-Sauth wakanielekeza.
Asante sana mkuu. Sasa maisha muruaaa (ingawa hakuna dagaa Cape Town)
OK sawa nipo JHB tayari...dagaa sijajua zipo wapi na adimu kweli maana za kigoma na Zambia zilikua zinauzwa bei juu kidogo hapa muda kidogo huku nakula kwa Wasomali ndio wana chakula kama cha kwetu na chakula chao kizuri..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…