Huu ni uthibitisho mwingine kuwa mitandao ina nguvu, waliokuwa waniibeza mitandao mna la kujifunza

Huu ni uthibitisho mwingine kuwa mitandao ina nguvu, waliokuwa waniibeza mitandao mna la kujifunza

Mzee Ngonyani

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2022
Posts
1,049
Reaction score
2,242
Hongoreni wana Chadema Kwa kufanya uchaguzi Kwa utulivu na amani ,

Wadau wengi walikuwa wakiandika juu ya ushindi wa Lisu humu mitandaoni na maoni ya wengi yalikuwa yanaonesha kuwa Lisu atashinda.

Baadhi walikuwa wana wabeza eti wanasema haya akisi uhalisia kwakuwa watu wengi hawatumii mitandao.

Kitu ambacho wengi mnapaswa kujifunza Kwa Sasa watanzania wengi hawangalii na kusikiliza taarifa za habari.

Wengi hutumia simu zao kuzisaka habari hivyo wanauelewa mkubwa Kwa sababu wanapata habari ghafi ambazo hazijaeditiwa.

Hizi tv stations zetu na redio ni kwaajili ya habari za burudani muziki na michezo tu. Ukitaka kujielimisha na kupata habari mitandao nahusika sana.

Kongore Kwa mitandao.
 
Hongoreni wana Chadema Kwa kufanya uchaguzi Kwa utulivu na amani ,

Wadau wengi walikuwa wakiandika juu ya ushindi wa Lisu humu mitandaoni na maoni ya wengi yalikuwa yanaonesha kuwa Lisu atashinda. Baadhi walikuwa wana wabeza eti wanasema haya akisi uhalisia kwakuwa watu wengi hawatumii mitandao. Kitu ambacho wengi mnapaswa kujifunza Kwa Sasa watanzania wengi hawangalii na kusikiliza taarifa za habari. Wengi hutumia simu zao kuzisaka habari hivyo wanauelewa mkubwa Kwa sababu wanapata habari ghafi ambazo hazijaeditiwa. Hizi tv stations zetu na redio ni kwaajili ya habari za burudani muziki na michezo tu. Ukitaka kujielimisha na kupata habari mitandao nahusika sana. Kongore Kwa mitandao.
💪🏿💪🏿💪🏿
IMG-20250122-WA0017.jpg
 
Basi yatosha kusema hata 2020 mzee wa pajama alitandikwa vibaya mno kuanzia mitandaoni hadi sandukuni ndio maana wazee wa miwani ya mbao na jirani waliingilia kati kuedit na kupindua mambo. Mwenye yake nchi akaghazabika na kufungua milango ya Israeli kutwaa kilicho chake kilichoruhusu uhuni huo.
 
Hongoreni wana Chadema Kwa kufanya uchaguzi Kwa utulivu na amani ,

Wadau wengi walikuwa wakiandika juu ya ushindi wa Lisu humu mitandaoni na maoni ya wengi yalikuwa yanaonesha kuwa Lisu atashinda. Baadhi walikuwa wana wabeza eti wanasema haya akisi uhalisia kwakuwa watu wengi hawatumii mitandao. Kitu ambacho wengi mnapaswa kujifunza Kwa Sasa watanzania wengi hawangalii na kusikiliza taarifa za habari. Wengi hutumia simu zao kuzisaka habari hivyo wanauelewa mkubwa Kwa sababu wanapata habari ghafi ambazo hazijaeditiwa. Hizi tv stations zetu na redio ni kwaajili ya habari za burudani muziki na michezo tu. Ukitaka kujielimisha na kupata habari mitandao nahusika sana. Kongore Kwa mitandao.
hakika ni wajinga tu ndo watakupuuza, nilishangaa sana eti key board worriors siyo wapiga kura,wakati wajumbe wengi tuko humu na ndo wapigakura
 
Ndio maana ilizimwa na itazimwa wakati sahihi ukifika🐼
 
Back
Top Bottom