Huu ni utoto au utaahira?

Sijawahi ona umepost mambo yako. Kila siku ni mashost zako ndo wana matatizo au wanaomba ushauri. Fake ID bado unaona aibu? Sema ni wewe.

Kama nadanganya pitia nyuzi zako zote uone
 
Hii ni red flag pia, right?
 
Duuuuh heshima zenu wanaume
 
Reactions: SDG
Sijawahi ona umepost mambo yako. Kila siku ni mashost zako ndo wana matatizo au wanaomba ushauri. Fake ID bado unaona aibu? Sema ni wewe.

Kama nadanganya pitia nyuzi zako zote uone
kha basi mimi nitakuwa nimeumbiwa matatizo yote ya dunia mkuu
 
Ni kweli kabisa kama shost alipoona ile hali alimpa jamaa support ya kumaliza nyumba ya mama. Mwanzo alifikiri jamaa atakuwa na mke nyumbani kumbe masikini haikuwa hivyo
Shosti muelewa.
Watu wengine ni bora uwaibie kuliko kuwadanganya wengine wangemwacha siku hiyo hiyo. Au alilinda mtoto?
 
Ni kutokujiamini tuu, kama mtu una Malengo naye kwa nini asipajue kwenu sasa..

Hii huwapata wale wanaoigiza maisha kumbe ni kina sie humu, we kwenu hutaki pajulikane kwa nini??
 
Shosti muelewa.
Watu wengine ni bora uwaibie kuliko kuwadanganya wengine wangemwacha siku hiyo hiyo. Au alilinda mtoto?
Yah alifanya vile basically kuwa ni kwa bibi wa mtoto wake.
 
Umepata mapenzi kwa kuwa umejiwekea ka status mjini unaona aibu kumpeleka kwenu kutokana na hali halisi . Hii ni kukosa confidence ya maisha, utoto au ni utaahira?
Siyo utoto wala utahira huenda huna malengo nae
 
Acha umbea
 
Reactions: SDG
Sio utahira wala utoto kama anakupenda na hajakupeleka kwaoo basi itakuwa hajajipanga kuwa na subra
Hadi umezaa na mtu haujajipanga? Hadi sherehe ya mtoto inafanyika haujajipanga?
 
Reactions: SDG
Sijawahi ona umepost mambo yako. Kila siku ni mashost zako ndo wana matatizo au wanaomba ushauri. Fake ID bado unaona aibu? Sema ni wewe.

Kama nadanganya pitia nyuzi zako zote uone


Asante ulikuwa kichwani mwangu.. Naumia mtu kujivikia kiremba cha kuwasemea wengine ilahali story inamhusu yeye kwa nini???? Huu ndio Utahira na Utoto plus Ulimbukeni wakujiona kuwa yeye hawezi kuwa na mapungufu au matatizo yakusaidiwa ila kuwatolea mfano wenzie..JF Bwana
 
Kutokujikubali ni kubaya sana! Wengi wana tabia ya kujiona much know mjini..ila usiombwe apate majanga kama kufa au kufiwa ni aibu au fedheha ukikuta maisha ya majumbani kwako lol..penden makwenu mtakuja kuaibikaaa
 
Wanawake wengine hawaelewi wanataka nn ukimuita kwako anaogopa anataka kwrnda guest sasa unadhani mtu kama huyo utampeleka kwa wazazi kweli?!
 
Umepata mapenzi kwa kuwa umejiwekea ka status mjini unaona aibu kumpeleka kwenu kutokana na hali halisi . Hii ni kukosa confidence ya maisha, utoto au ni utaahira?

Usiombe kuolewa na mwanaume mwenye roho ya ki-maskini

Kuna Nyingine Uliaga na kusema upo busy na hutaweza kuhudumia vyote kwa wakati mmoja sasa Yamekuwaje... Pole Huyo Mwanaume kwa unavyomsimanga Humu Ndani Laiti kama angekuwa Member basi Sijui..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…