Huu ni utoto au utaahira?

Huu ni utoto au utaahira?

Ukiona mwanaume hataki kukupeleka home/ghetto au hataki kukutambulisha kwa close friends and relatives, ujuwe kuwa he's using you (most of the time).

Mtu akiwa serious na wewe lazima atatamani ujuwe anapoishi, ndugu zake walau uwaone au apige simu uwasalimie, otherwise jiulize.
Kaka unaua he he he he. Kwa kweli hata mimi kuna wadada hawajui naishi wapi. Na hii ni kwa sababu wengine ni ving'ang'anizi. Akipajua kwako tu anaibuka unannounced. Utasikia "bae I was in the neighborhood nikasema nipite nikusalimie" wakati unaishi Kigamboni huko. Hapana aise. Mwanamke ninayemleta kwangu ni yule niliye na malengo naye tu.
 
Kwani kidume kizaa na wewe ndo akupeleke home?wewe utabakia kuwa poozeo tu
 
Siyo tu kuleta story za Mashost hizi ni Story zake ila anazivika uhusika wa Mtu Mwingine- Impersonation- Ukiangalia katika ya kila hiyo story ya Shost huwa anajiweka uhusika ila anadhani watu hawajui huwa wanapotezea tu ili maisha yasonge Mbele hakuna kitu wa Dada hawapendi kama kuwa challenged au kuonekana wamekuwa offended.

Na Kuna siku alikuja kuaga kuwa hatakuwa tena Mwanachama wa JF lakini anaonekana bado yupo tu.. in Makongoro Voice.

Yaani JF kuna Fake Nyingi san Duuu
Wanaume wa JF mbona hamnipendi wakati mimi ninamapenzi ya dhati na nyinyi? Mara mnisute kuwa niliaga lakini bado nipo. I love you guys.
 
Hua siwaonyeshi nyumbani, kwangu wala kuwatambulisha kwa marafiki au ndugu ili nikiwatia mimba wasijue pa kunikamata.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hua siwaonyeshi nyumbani, kwangu wala kuwatambulisha kwa marafiki au ndugu ili nikiwatia mimba wasijue pa kunikamata.
Inaelekea umedondosha sana DNA zako kitaa
 
Ni hivi yalimtokea shost, boyfriend anakwenda kwake, lakini hamfahamishi nyumbani. Mpaka wamepata mtoto, mama mkwe amekuja kumwona mtoto, ubatizo wa mtoto umefanyika kwa shost mama amekuja kama mgeni. Sasa siku moja shost anakwenda Kariakoo shopping, anakutana na jamaa yuko na mother, khe, baada ya salamu aliuliza mnakwenda wapi, mama alijibu kupanda basi twende nyumbani, mama alikuwa na mzigo, shost aliofer lift, jamaa alitaka kutoa nje, mama aliona unafuu ule alikubali.

Wamefika home, masikini mama anaishi kwenye nyumba ya nyuma mbele ameweka msingi tu na ni wa muda mrefu. shost aligundua kwanini jamaa alikuwa hataki afike home. Sasa kama mtu umesha zaa nae, haya si ni mambo ya kawaida tu. Hakuna aliyeumbiwa umasikini.
Kwa kesi hii huyo mwanaume ni mjinga...ila nawe acha kusema habari za watu,... 😛 😛 😛 😛 nasubiri puvu
 
Back
Top Bottom