Huu ni wakati wa kukubali lugha za Taifa ni mbili, Kiswahili na Kiingereza

Huu ni wakati wa kukubali lugha za Taifa ni mbili, Kiswahili na Kiingereza

system hacker

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2022
Posts
426
Reaction score
709
Sijui tunakwama wapi. Ila deep inside Kiswahili ni lugha dhaifu sana yaani sio stable hata hivyo sio romantic hata kibiashara ni weak sana.

Hata ukitongoza demu kwa Kiswahili na jamaa mwingine akatongoza kwa English; yule wa Kiswahili ni likely kupigwa chini mara elfu zaidi na kukubaliwa wa English hata kama hana hela.

Mtaani tumekubali kuna mifumo miwili ya elimu:

English medium na Swahili medium lakini bado hatutaki kukubali kuwa Kiswahili inakwama Duniani. Hata NECTA wana mitihani miwili same class.

Hata thinking capacity English ina accelerate thinking capacity Kiswahili hudumaza.

Deep inside Kiswahili ni ajenda ya wakubwa kuendelea kufifisha ndoto za watu masikini....ndio maana watoto wao hawasomi shule za Kiswahili lakini wao wana promote Kiswahili.

Watu masikini shitukeni na demand English iwe ni lugha rasmi ya Taifa pamoja na Kiswahili ili watoto wenu wasiendelee kubaki wapiga kura.

Kwenye Kiswahili tunapigwa!
 
Kukitangaza Kiingereza kama lugha ya taifa hakutabadilisha hali ya masikini yeyote.

Kama tunataka kufaidi hayo "mema" ya kiingereza, tubadili sera ya elimu watoto wajifunze kwa Kiingereza toka baby class mpaka vyuoni.

Kiswahili kibaki kama lugha yetu ya uzalendo na kubishana mitaani.
 
Akili yako fupi sana. China, Japan, nk wapo mbali sana na hawatumii kingereza.
 
Binadamu ukimalizwa kwa kuchukia kilicho chako na historia yako unakuwa huna pride ya chochote zaidi ya Master wako. Kwa kweli wakoloni walituweza na wametumaliza kabisa chochote chetu ni cha kishamba kuanzia majina yetu, lugha zetu na utamaduni wetu kwa ujumla.

Yani mleta mada hapa anajiona mjanja kwa kujua kiengereza utadhani kiengereza ndo maarifa ndo ujuzi. Waafrika tutabaki maskini kwasababu uti wa mgongo wa maendeleo umekatwa naoni utamaduni unaobeba utu wetu angalia mataifa ambayo hawakuuza utamaduni wao kama India, China, Malysia na zinginezo.
 
Mleta mada amesahau kama ukijiweka kwenye uingereza mwingi basi unajikuta unaliwa kiuingereza kwa urahisi, si unaona amedhihirisha kabisa mwanamke akitongozwa kwa kimombo anagawa mbususu haraka maana anaogopa kuaibika hajui kimombo? Mtoa mada, Unataka dada zako wagawe mbususu fasta fasta na kupigwa kibut nacho kinakua fasta fasta..utaskia tuu.. I don gv a f#c, ndo dada wa watu keshaachwa hvo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijui tunakwama wapi. Ila deep inside Kiswahili ni lugha dhaifu sana yaani sio stable hata hivyo sio romantic hata kibiashara ni weak sana.

Hata ukitongoza demu kwa Kiswahili na jamaa mwingine akatongoza kwa English; yule wa Kiswahili ni likely kupigwa chini mara elfu zaidi na kukubaliwa wa English hata kama hana hela.

Mtaani tumekubali kuna mifumo miwili ya elimu:

English medium na Swahili medium lakini bado hatutaki kukubali kuwa Kiswahili inakwama Duniani. Hata NECTA wana mitihani miwili same class.

Hata thinking capacity English ina accelerate thinking capacity Kiswahili hudumaza.

Deep inside Kiswahili ni ajenda ya wakubwa kuendelea kufifisha ndoto za watu masikini....ndio maana watoto wao hawasomi shule za Kiswahili lakini wao wana promote Kiswahili.

Watu masikini shitukeni na demand English iwe ni lugha rasmi ya Taifa pamoja na Kiswahili ili watoto wenu wasiendelee kubaki wapiga kura.

Kwenye Kiswahili tunapigwa!
Mwenyewe hapo ulipo pengine hujui kingereza cha maana ila ubabaishaji. Halafu unaonekana mjinga tu maana huelewi lugha ya taifa hua ni lugha gani. Eti kingereza kiwe lugha ya taifa! Uliwahi kwenda sokoni popote hapa tanzania ukakuta watu wanafanya biashara kwa kingereza au umejaa kasumba ya kijinga tu.
 
Una utaalamu wowote kuhusu masuala ya lugha?
huhitaji hata kuwa na utaalamu wa lugha facts ni kwa nini wakubwa hawasomeshi shule hizi za swahili medium?ukitaka kung'ang'ana na lugha za kwetu kwa maana ya kiswahili ujue unateknolojia ya hali ya juu na unajitosheleza nayo.matifa yote yanayotumia lugha za kwao wana teknolojia ya juu na wanajitosheleza ktk nyanja mbali mbali lkn kwa tz bado.hata nchi jirani wanaotuzunguka hawana habari na hizo lugha zao,wamekumbatia lugha za mabeberu.kiingereza ni kila kitu ndo maana hata humu ndani ntuzi za kiingereza hazichangiwi sababu wengi tunashindwa kuelewa kichowasilishwa.
 
huhitaji hata kuwa na utaalamu wa lugha facts ni kwa nini wakubwa hawasomeshi shule hizi za swahili medium?ukitaka kung'ang'ana na lugha za kwetu kwa maana ya kiswahili ujue unateknolojia ya hali ya juu na unajitosheleza nayo.matifa yote yanayotumia lugha za kwao wana teknolojia ya juu na wanajitosheleza ktk nyanja mbali mbali lkn kwa tz bado.hata nchi jirani wanaotuzunguka hawana habari na hizo lugha zao,wamekumbatia lugha za mabeberu.kiingereza ni kila kitu ndo maana hata humu ndani ntuzi za kiingereza hazichangiwi sababu wengi tunashindwa kuelewa kichowasilishwa.
Nakuuliza na wewe lile lile swali nililo muuliza mleta mada, Una utaalamu wowote kuhusu masuala ya lugha ?
 
Sijui tunakwama wapi. Ila deep inside Kiswahili ni lugha dhaifu sana yaani sio stable hata hivyo sio romantic hata kibiashara ni weak sana.

Hata ukitongoza demu kwa Kiswahili na jamaa mwingine akatongoza kwa English; yule wa Kiswahili ni likely kupigwa chini mara elfu zaidi na kukubaliwa wa English hata kama hana hela.

Mtaani tumekubali kuna mifumo miwili ya elimu:

English medium na Swahili medium lakini bado hatutaki kukubali kuwa Kiswahili inakwama Duniani. Hata NECTA wana mitihani miwili same class.

Hata thinking capacity English ina accelerate thinking capacity Kiswahili hudumaza.

Deep inside Kiswahili ni ajenda ya wakubwa kuendelea kufifisha ndoto za watu masikini....ndio maana watoto wao hawasomi shule za Kiswahili lakini wao wana promote Kiswahili.

Watu masikini shitukeni na demand English iwe ni lugha rasmi ya Taifa pamoja na Kiswahili ili watoto wenu wasiendelee kubaki wapiga kura.

Kwenye Kiswahili tunapigwa!
Kiswahili hakiko romantic au wewe hujui kiswahili!?..waulizeni mama zenu tulivyowatongoza kwa kiswahili romantic mpaka vinyweleo vikawasimama
 
huhitaji hata kuwa na utaalamu wa lugha facts ni kwa nini wakubwa hawasomeshi shule hizi za swahili medium?ukitaka kung'ang'ana na lugha za kwetu kwa maana ya kiswahili ujue unateknolojia ya hali ya juu na unajitosheleza nayo.matifa yote yanayotumia lugha za kwao wana teknolojia ya juu na wanajitosheleza ktk nyanja mbali mbali lkn kwa tz bado.hata nchi jirani wanaotuzunguka hawana habari na hizo lugha zao,wamekumbatia lugha za mabeberu.kiingereza ni kila kitu ndo maana hata humu ndani ntuzi za kiingereza hazichangiwi sababu wengi tunashindwa kuelewa kichowasilishwa.
Wabongo wanatoa mifano ya China, Japan na Korea hahahahah. Majirani tu hapa wameiweka kama lugha ya ziada wanakimbizana na English.

Wabongo slow learners sana
 
Back
Top Bottom