Huu ni wizi TIA MWANZA

Arsenalist

Member
Joined
Oct 4, 2013
Posts
74
Reaction score
46
Kwa waliomaliza certificate mwezi may mwaka huu! Walipotaka kujiunga waliambiwa watume maombi. Vijana walidownload matokeo wakaambatanisha vikapokelewa. Walipoanza masomo Chuo kikasema hakitambui matokeo yao mpaka walipie 10000/= kwa ajili ya statement of results. Nilishangaa ila ilibidi nitoe. Baada ya muda Chuo kikasema kilikosea ilibidi iwe 5000/= lakini hakuna cheji. Sasa najiuliza huu si wizi wa mchana watu kutengeneza matumbo yao? Na serikali eti sikivu ipo. Dah.

Serikali yetu haifai hadi hao watu wake walio TIA, HESLB na maeneo mengine yenye vitendo vya hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…