IKUNGURU IJIRU CHUKU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 484
- 545
Kuna msomi wa PhD wizarani wa uchumi. Huyu anapaswa kufanywa kama wale machief wa songeaSerikali ya CCM inachofanya ni Uporaji wa Pesa za wanachi! Huwezi Mkata mtu PAYE au Income tax halafu uje tena umkate tozo ya Serikali kwa kutoa pesa bank kwenye Pesa hiyo hiyo.
Thats Robbery in a broad day light. Widen your tax base. Acheni quick fix its not Sustainable
Chama Cha fisiemu Ni sawa na ukoo wa Panya muwe mnaelewa Watanzania shida yenu ni kufanya maamuzi kwa mihemko
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
😂😂 Kilio ni katiba mpya au ni wanajamvi wanaohalalishaChama Cha fisiemu Ni sawa na ukoo wa Panya muwe mnaelewa Watanzania shida yenu ni kufanya maamuzi kwa mihemko
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
hakuna haja ya mishahara kupitia benki. watu wapewe cash wakazifukie majumbaniSerikali ya CCM inachofanya ni Uporaji wa Pesa za wanachi! Huwezi Mkata mtu PAYE au Income tax halafu uje tena umkate tozo ya Serikali kwa kutoa pesa bank kwenye Pesa hiyo hiyo.
Thats Robbery in a broad day light. Widen your tax base. Acheni quick fix its not Sustainable
Tulisema hatari ya nchi kuongozwa na kikundi cha mafisadi, wezi sasa tunauyaonaSerikali ya CCM inachofanya ni Uporaji wa Pesa za wanachi! Huwezi Mkata mtu PAYE au Income tax halafu uje tena umkate tozo ya Serikali kwa kutoa pesa bank kwenye Pesa hiyo hiyo.
Thats Robbery in a broad day light. Widen your tax base. Acheni quick fix its not Sustainable
Watanzania tuna shida mahali,tulifurahia kifo Cha mwendazake kashika rungu mwingine tunaona kama katuponda zaidi ya yule jamaa 😅Tulisema hatari ya nchi kuongozwa na kikundi cha mafisadi, wezi sasa tunauyaona
Thamani ya kura haina maana kwa CCM kama tume ya uchaguzi inawekwa kusimamia maslahi ya CCM, Polisis wako kusimamia maslahi ya CCM na Bunge limetekwa na wana CCM.Wamechoka kuwaza, wamechoka kuongoza, hii ndio CCM niliyoacha kuipigia kura tangu niliporuhusiwa kisheria, ila kwa malalamiko haya nadhani tunaanza kuelewa thamani ya kura.
Mtu anayejisifia kwa PhD ya st. kayumba kwamba ni daktari wa uchumi ambaye huwezi kumtilia shaka hata kidogo, sasa angekuwa kasoma Harvard sijui ingekuwaje hayo majigamambo...Kuna msomi wa PhD wizarani wa uchumi. Huyu anapaswa kufanywa kama wale machief wa songea
Uwezi jua labda ndio msomi wa kwanza kwenye ukoo wao kwaiyo anahisi dunia mzima yeye ni wakipekeeMtu anayejisifia kwa PhD ya st. kayumba kwamba ni daktari wa uchumi ambaye huwezi kumtilia shaka hata kidogo, sasa angekuwa kasoma Harvard sijui ingekuwaje hayo majigamambo...