Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo tu mbeleko tayariKama wanaweza, na wanachi wataelewa sera zao kuna shida gani? kikubwa wasibebwe na mbeleko wapite kwa fair competition.
Waache wakadondoke woteDaah! Hii haikubaliki ahera na duniani.
CCM ni dudu linaloiangamiza nchi hii.
Sio sabini ni 85Kila mtu ana haki kikatiba.. ila mama kikwete na mwinyi walichofanya sio sahihi.. mama salma kikwete angeachia hata ukoo mwingine nao ule national cake ya ubunge huko kwao kusini...maana yeye na mumewe wana asilimia 70 ya mshahara wa urais mpaka kufa kwao
Inamaana ni wenyewe tu wamekidhi vigezo?Baada ya kukidhi vigezo ndiyo inakuja ile sifa ya ziada,wewe ni ndugu wa mkubwa gani katika chama?Hilo liko wazi!Kama wana kidhi vigezo shida iko wapi?
FRED lowassa
Salma Kikwete
Ridhiwani Kikwete
.....
.....
CCM INA WENYEWE. WENYEWE NDIO HAO. sisi kazi yetu ni kusema MITANO ZAIDI[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ili waendelee kula mema ya nchi
Kwa namna Mzee mwinyi anamlamba viatu magufuri mnategemea nini? wana ccm wametufikisha hapo sababu hawajawaelewa viongozi wao, viongozi wao wanafikiria miaka mitano mitano tu.
Msipate taabu mahakama ya mwisho ni sanduku la kuraInamaana ni wenyewe tu wamekidhi vigezo?Baada ya kukidhi vigezo ndiyo inakuja ile sifa ya ziada,wewe ni ndugu wa mkubwa gani katika chama?Hilo liko wazi!
Foolish!Kama wana kidhi vigezo shida iko wapi?
Kila mtu ana haki kikatiba.. ila mama kikwete na mwinyi walichofanya sio sahihi.. mama salma kikwete angeachia hata ukoo mwingine nao ule national cake ya ubunge huko kwao kusini...maana yeye na mumewe wana asilimia 70 ya mshahara wa urais mpaka kufa kwao
Poor brain!Kwani Ni wakenya hao?
Angalia tu Kama katiba imekiukwa,vinginevyo mpigie kura mtu wa ACT
Kuna wakati chadema walijazana ndugu maahemji na wazazi bunge.ni lakin hukufungua Domo lako