Huu si ni utapeli ndugu zangu?

Huu si ni utapeli ndugu zangu?

Wewe ulisurvive vipi na Covid19? Maana wenzio wenye tabia hii kizazi Cha mwisho kimeisha na C19.. Sasa tumebaki na vitunguu maji vyetu
Mapenzi sio for sex, mwenza ni life partner ( ni zaidi ya sex hayo ni maisha kamili a usaidizi kati ya me na ke katika kukamilisha ndoto na maono kwa pamoja baina ya watu wawili ). Kama ni life partner daima wanakuwa full package, sasa huko nje unaenda kutafuta nini ? Ingawa haya ni maisha ambayo yana machaguzi
 
Back
Top Bottom