Huu u single vepee, mbona umeniganda?

Huu u single vepee, mbona umeniganda?

teenwolf

Senior Member
Joined
Feb 12, 2017
Posts
122
Reaction score
76
hata sielewi kwanini nipo single hadi mida hii...
huku nakoelekea ni kwenye album sasa....
mitaa gani kuna ma single boy,nianze kutoka toka nje labda wataniona....

ni cinemas au restaurants???
ni beach au kwenye events???
fancy places au maofisini???
uwanjani au clubs???
supermarkets au vituoni??
misikitini au kanisani???
 
hata sielewi kwanini nipo single hadi mida hii...
huku nakoelekea ni kwenye album sasa....
mitaa gani kuna ma single boy,nianze kutoka toka nje labda wataniona....

ni cinemas au restaurants???
ni beach au kwenye events???
fancy places au maofisini???
uwanjani au clubs???
supermarkets au vituoni??
misikitini au kanisani???

Unatafuta boys not men......[emoji23][emoji23]
 
hata sielewi kwanini nipo single hadi mida hii...
huku nakoelekea ni kwenye album sasa....
mitaa gani kuna ma single boy,nianze kutoka toka nje labda wataniona....

ni cinemas au restaurants???
ni beach au kwenye events???
fancy places au maofisini???
uwanjani au clubs???
supermarkets au vituoni??
misikitini au kanisani???
Ni pm faster
 
hata sielewi kwanini nipo single hadi mida hii...
huku nakoelekea ni kwenye album sasa....
mitaa gani kuna ma single boy,nianze kutoka toka nje labda wataniona....

ni cinemas au restaurants???
ni beach au kwenye events???
fancy places au maofisini???
uwanjani au clubs???
supermarkets au vituoni??
misikitini au kanisani???


Now I see why uko single....kumbe unatafuta vi-boys na si mtu wa maana wa kukupa starehe. Umekuwa Shilole kupenda watoto na kuwafundisha vitu vikubwa wasivyoweza?
 
hata sielewi kwanini nipo single hadi mida hii...
huku nakoelekea ni kwenye album sasa....
mitaa gani kuna ma single boy,nianze kutoka toka nje labda wataniona....

ni cinemas au restaurants???
ni beach au kwenye events???
fancy places au maofisini???
uwanjani au clubs???
supermarkets au vituoni??
misikitini au kanisani???
Wewe endelea kugonga single paka uingie katika chati za billboard na ushike ushike nafasi za juu kabisa,maana idadi ya wanaume ni ndogo kuliko Wana wake,na katika hyo idadi ndogo ya wanaume,Kuna mashoga ndani yake,Kuna machizi,Kuna wagonjwa,Kuna wale ambao unasemaga hamuendani kwa sababu hizi na zile kama mateja,vibaka,kiuchumi n.k........

Kwa hiyo wewe endelea tu kugonga hits kali gonga album,Aina ya wanaume ambao sija wataja wengi wapo kwenye ndoa ama mahusiano ya uchumba na wengine ni maplayboy na wachache sana wapo single,Sasa kama una roho ya kijasiri jaribu kuangalia katika kundi hili uweze kuwa ka mchepuko,na ukitaka wako peke yako chonga mgomba ama sanamu uweke ndani...
 
Back
Top Bottom