Buyaka
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 1,705
- 1,953
Jamaa alipomfumania mtu anaiba mkewe akakimbia kwa mganga, mganga by remote powers akawagandisha permanently kwenye ngono, jamaa akarudi akasema ili kuwabandua Mchawi anaitisha (anadai, Kiswahili cha huko Kenya hicho) Mchawi anaitisha KSH 20,000 zitoke maana ndio anazodaiwa kwa mchawi.
My Take: Kinachonishangaza kwenye hii Video ni kwamba polisi badala ya kuita obstetrician and gynecologist eti na wao wako katika negotiations za kupunguza bei na kutafuta 20,000/= za mchawi!
Kama uchawi upo kweli kwa nini huyo mganga wa mapenzi tusimpe research facilities aka develop HIV vaccine?
[video=facebook;285093861543127]https://www.facebook.com/photo.php?v=285093861543127[/video]
My Take: Kinachonishangaza kwenye hii Video ni kwamba polisi badala ya kuita obstetrician and gynecologist eti na wao wako katika negotiations za kupunguza bei na kutafuta 20,000/= za mchawi!
Kama uchawi upo kweli kwa nini huyo mganga wa mapenzi tusimpe research facilities aka develop HIV vaccine?
[video=facebook;285093861543127]https://www.facebook.com/photo.php?v=285093861543127[/video]