Huu udini sasa hadi kwenye biashara?

Huu udini sasa hadi kwenye biashara?

Kuna kundi kubwa sana watu hawajui kwanini WANAFUNGA, ila kwakuwa umefika mwezi wa Kufunga basi wanafunga tu kufata Mkumbo

Waliowengi wanafunga Kula, mtu aliefunga Kula hawezi kuvumilia kukuona wewe unakula kisha akaendelea kuact Normal mbele yako

Ndomana kuna sehemu watu wakionekana wanakula wanapigwa/kuchapwa fimbo,kufokewa,kudhihakiwa na mambo mengine ambayo sio ya kistaarabu

Nadhani viongozi wetu wa Dini zetu wangewekeza nguvu kubwa kwenye kuelimisha watu kwanini wanatakiwa Kufunga

Tofauti na hapo tutakuwa na kundi kubwa la watu wanaoshinda na Njaa ila sio kundi kubwa la wafungaji
Umemalizaaaa
 
Wabongo acheni ushamba mtu anaefanya biashara inamaana ana uhuru wake na anahaki yakutotoa huduma kwa sababu zake iyo ndo financial freedom
Mtu amefunga kwa imani yake wewe unakuja kulalamika uku jf unataka kulazimisha mtu akuuzie chakula wakati amefunga kwani wauza vyakula wote ni waislam

Hizi hoja za chuki chuki nashindwaga kuzielewa mbona watalibani wanavumilia siku zenu za ibada mkifunga biashara waacheni na wao wamalize ibada yao mbona huduma unaweza pata sehemu nyingi tu fungeni milango ya chuki iyo muishi kwa amani
 
Ni kweli kwamba kila mwenye biashara yake ana imani zake za kidini ila sasa wateja mbona ni wa dini zote.

Iweje biashara zako zinahudumia dini zote alafu leo umeamua kisa una mfungo ndo ufunge hadi biashara? Mteja anataka akakae zake ndani ale ice cream na laptop yake unatoa maagizo hakuna mteja kukaa ndani viti viko juu ya meza.

Hatukatai wew una dini yako ila wateja wako siyo wa dini yako tu, kila mtu ana imani yake kama kafunga atafunga, ambaye hajafunga muache aendelee na huduma. Kumbuka biashara yako imejengwa na wateja wa imani zote hadi kukufikisha hapo ulipofika usitake kufosi imani zako kwa wateja wako wengine.

Sasa hii shida gani ukipita kariakoo migahawa kibao imefungwa, au basi na sisi wa imani zingine tususie biashara zenu mkimaliza kufunga muendelee kuuza futari hizohizo tuone.
Hata ukiagiza maji/soda kwenye duka la mpemba wanakuambia hawauzi.
 
Umeona eeh? Kwamba mimi sili na wewe usile. Siyo kwamba anafunga kwa ibada ya roho yake. Mbona Hyatt hotel ni ya muarabu na serena hotel ni ya mpakistani ila msosi upo mda wote na futari ipo jioni pia. I'm sure ukienda Dubai mchana huu hukosu msosi.
Dubai Airport msimu wa sikukuu ya Christmas hupamba kwa miti ya Christmas.
 
Ni kweli kwamba kila mwenye biashara yake ana imani zake za kidini ila sasa wateja mbona ni wa dini zote.

Iweje biashara zako zinahudumia dini zote alafu leo umeamua kisa una mfungo ndo ufunge hadi biashara? Mteja anataka akakae zake ndani ale ice cream na laptop yake unatoa maagizo hakuna mteja kukaa ndani viti viko juu ya meza.

Hatukatai wew una dini yako ila wateja wako siyo wa dini yako tu, kila mtu ana imani yake kama kafunga atafunga, ambaye hajafunga muache aendelee na huduma. Kumbuka biashara yako imejengwa na wateja wa imani zote hadi kukufikisha hapo ulipofika usitake kufosi imani zako kwa wateja wako wengine.

Sasa hii shida gani ukipita kariakoo migahawa kibao imefungwa, au basi na sisi wa imani zingine tususie biashara zenu mkimaliza kufunga muendelee kuuza futari hizohizo tuone.
Waimani zingine mna kwarezma
 
Wabongo acheni ushamba mtu anaefanya biashara inamaana ana uhuru wake na anahaki yakutotoa huduma kwa sababu zake iyo ndo financial freedom
Mtu amefunga kwa imani yake wewe unakuja kulalamika uku jf unataka kulazimisha mtu akuuzie chakula wakati amefunga kwani wauza vyakula wote ni waislam

Hizi hoja za chuki chuki nashindwaga kuzielewa mbona watalibani wanavumilia siku zenu za ibada mkifunga biashara waacheni na wao wamalize ibada yao mbona huduma unaweza pata sehemu nyingi tu fungeni milango ya chuki iyo muishi kwa amani
Sasa mtu kama baresa anafunga migahawa yake kwanini? Wakati wafanyakazi wake wengine ni wakristu? Au anaajiri kidini?

Kwa mtu mdogo kama mama ntilie ambaye anapika mwenyewe naweza kukubali afunge ila kampuni kubwa kama baresa inafunga migahawa yake kisa mmiliki kafunga? Kumbuka hii ni kampuni kubwa. Mbona Serena ni ya mpakistani na hyatt ni ya muarabu wote waislamu ila msosi upo mda wote pale.
Alafu kama kufunga migawahawa ndo atapata thawabu kwa mungu basi basi afunge na kiwanda ambacho gari zinapakia unga wa ngano, sembe mda wote si hadi wakristo wananunua na kwenda kula mchana?
 
Back
Top Bottom