UmemalizaaaaKuna kundi kubwa sana watu hawajui kwanini WANAFUNGA, ila kwakuwa umefika mwezi wa Kufunga basi wanafunga tu kufata Mkumbo
Waliowengi wanafunga Kula, mtu aliefunga Kula hawezi kuvumilia kukuona wewe unakula kisha akaendelea kuact Normal mbele yako
Ndomana kuna sehemu watu wakionekana wanakula wanapigwa/kuchapwa fimbo,kufokewa,kudhihakiwa na mambo mengine ambayo sio ya kistaarabu
Nadhani viongozi wetu wa Dini zetu wangewekeza nguvu kubwa kwenye kuelimisha watu kwanini wanatakiwa Kufunga
Tofauti na hapo tutakuwa na kundi kubwa la watu wanaoshinda na Njaa ila sio kundi kubwa la wafungaji
Naunga mkono hojaInashangazaaa mnooo
Hata ukiagiza maji/soda kwenye duka la mpemba wanakuambia hawauzi.Ni kweli kwamba kila mwenye biashara yake ana imani zake za kidini ila sasa wateja mbona ni wa dini zote.
Iweje biashara zako zinahudumia dini zote alafu leo umeamua kisa una mfungo ndo ufunge hadi biashara? Mteja anataka akakae zake ndani ale ice cream na laptop yake unatoa maagizo hakuna mteja kukaa ndani viti viko juu ya meza.
Hatukatai wew una dini yako ila wateja wako siyo wa dini yako tu, kila mtu ana imani yake kama kafunga atafunga, ambaye hajafunga muache aendelee na huduma. Kumbuka biashara yako imejengwa na wateja wa imani zote hadi kukufikisha hapo ulipofika usitake kufosi imani zako kwa wateja wako wengine.
Sasa hii shida gani ukipita kariakoo migahawa kibao imefungwa, au basi na sisi wa imani zingine tususie biashara zenu mkimaliza kufunga muendelee kuuza futari hizohizo tuone.
Dubai Airport msimu wa sikukuu ya Christmas hupamba kwa miti ya Christmas.Umeona eeh? Kwamba mimi sili na wewe usile. Siyo kwamba anafunga kwa ibada ya roho yake. Mbona Hyatt hotel ni ya muarabu na serena hotel ni ya mpakistani ila msosi upo mda wote na futari ipo jioni pia. I'm sure ukienda Dubai mchana huu hukosu msosi.
Waimani zingine mna kwarezmaNi kweli kwamba kila mwenye biashara yake ana imani zake za kidini ila sasa wateja mbona ni wa dini zote.
Iweje biashara zako zinahudumia dini zote alafu leo umeamua kisa una mfungo ndo ufunge hadi biashara? Mteja anataka akakae zake ndani ale ice cream na laptop yake unatoa maagizo hakuna mteja kukaa ndani viti viko juu ya meza.
Hatukatai wew una dini yako ila wateja wako siyo wa dini yako tu, kila mtu ana imani yake kama kafunga atafunga, ambaye hajafunga muache aendelee na huduma. Kumbuka biashara yako imejengwa na wateja wa imani zote hadi kukufikisha hapo ulipofika usitake kufosi imani zako kwa wateja wako wengine.
Sasa hii shida gani ukipita kariakoo migahawa kibao imefungwa, au basi na sisi wa imani zingine tususie biashara zenu mkimaliza kufunga muendelee kuuza futari hizohizo tuone.
Sasa mtu kama baresa anafunga migahawa yake kwanini? Wakati wafanyakazi wake wengine ni wakristu? Au anaajiri kidini?Wabongo acheni ushamba mtu anaefanya biashara inamaana ana uhuru wake na anahaki yakutotoa huduma kwa sababu zake iyo ndo financial freedom
Mtu amefunga kwa imani yake wewe unakuja kulalamika uku jf unataka kulazimisha mtu akuuzie chakula wakati amefunga kwani wauza vyakula wote ni waislam
Hizi hoja za chuki chuki nashindwaga kuzielewa mbona watalibani wanavumilia siku zenu za ibada mkifunga biashara waacheni na wao wamalize ibada yao mbona huduma unaweza pata sehemu nyingi tu fungeni milango ya chuki iyo muishi kwa amani