Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Mheshimiwa DPP “watumwa” wa serikali yako wanakufa gerezani. Salum Khamisi kafa usiku na wengine wamedhoofika sana. Hawa ni mamia ya Waislam unaowashikilia Dar Tanga Moro Arusha Shga MZA Mtwara kwa zaidi ya miaka 9 ukidai unatafuta ushahidi. Muogopeni Mungu watendeeni watu haki.
Wanaofungwa huku gerezani ni waislam tu?.
Viongozi wa dini wa namna hii ni hatari Kwa taifa.
Wanaofungwa huku gerezani ni waislam tu?.
Viongozi wa dini wa namna hii ni hatari Kwa taifa.