Huu udongo wenye chuma (magnetic) una matumizi gani?

Huu udongo wenye chuma (magnetic) una matumizi gani?

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Habari wakuu.
Kuna huu udongo ambao ukipitisha sumaku unanasa. Je una matumizi yoyote viwandani?
 

Attachments

  • IMG-20230605-WA0009(1).jpg
    IMG-20230605-WA0009(1).jpg
    106.5 KB · Views: 1
  • IMG-20230605-WA0010.jpg
    IMG-20230605-WA0010.jpg
    31.1 KB · Views: 1
KIVIPI MKUU
Inachomwa kwenye Moto kunakua na jiko linakokwa Moto mkubwa kisha zinapitishwa humo kuna sehemu kunakua na chocheo la Moto linakanyagwa na Mguu umbo km Puto nilionaga nikiwa mdogo sana, hio baadae ujiuji ukipitishwa kwenye maji inatokea chuma inapigwapigwa sana na nyundo hadi inanyooka alafu inanolewa na Tupa ndio kinatoka kifaa km Panga na vifaa vingine, unategemea na mahitaji ya mtu
 
Inachomwa kwenye Moto kunakua na jiko linakokwa Moto mkubwa kisha zinapitishwa humo kuna sehemu kunakua na chocheo la Moto linakanyagwa na Mguu umbo km Puto nilionaga nikiwa mdogo sana, hio baadae ujiuji ukipitishwa kwenye maji inatokea chuma inapigwapigwa sana na nyundo hadi inanyooka alafu inanolewa na Tupa ndio kinatoka kifaa km Panga na vifaa vingine, unategemea na mahitaji ya mtu
mmmh okay
 
Chuma hio Mzee wangu alikua anatengenezea visu, mapanga, majembe, masime, reki, nk ni kwa wahunzi wanajua Cha kufanyia mbugila hawezi kuelewa
Shukrani sana. Sasa kama ipo shambani kwangu sijui tena nitaambiwa lazima nipate kibali ili kuutumia au?!!
 
Inachomwa kwenye Moto kunakua na jiko linakokwa Moto mkubwa kisha zinapitishwa humo kuna sehemu kunakua na chocheo la Moto linakanyagwa na Mguu umbo km Puto nilionaga nikiwa mdogo sana, hio baadae ujiuji ukipitishwa kwenye maji inatokea chuma inapigwapigwa sana na nyundo hadi inanyooka alafu inanolewa na Tupa ndio kinatoka kifaa km Panga na vifaa vingine, unategemea na mahitaji ya mtu
Nimeshaona hii process Kwa kabila la Wadatoga lakini hawatumii huu udongo wanatumia chuma chakavu.
 
Nimeshaona hii process Kwa kabila la Wahadzabe lakini hawatumii huu udongo wanatumia chuma chakavu.
Ni udongo unatumika kupata Chuma, km kwenu mmewahi kua na wahunzi kwenye kabila lenu waulize vizuri km hamjawahi kua na wahunzi basi endelea kusimuliwa
 
Ni udongo unatumika kupata Chuma, km kwenu mmewahi kua na wahunzi kwenye kabila lenu waulize vizuri km hamjawahi kua na wahunzi basi endelea kusimuliwa
Shukrani mkuu nitatembelea wahunzi nikiwa na sample ya udongo nione Kila kitu in action
 
Back
Top Bottom