Huu ugonjwa tusiuletee macheko

Kwenye kuaga mwili tutaambukizana tena , kazi ipo
 
Hivi watu mkoje? Kwa nini mnalazimisha kuwa mkuu wetu amefariki kwa corona wakati tumeelezwa na viongozi wetu kuwa amefariki kutokana na ugonjwa wa moyo.
 
Hivi watu mkoje? Kwa nini mnalazimisha kuwa mkuu wetu amefariki kwa corona wakati tumeelezwa na viongozi wetu kuwa amefariki kutokana na ugonjwa wa moyo.
Wewe umeishia darasa la ngapi? korona ni second hand disease , inamalizia penye tatizo ..... Mna vichwa vigumu Sana , na Vifo ndo vitaendelea kuwa Gharama ya ubishi
 
"Watu wenye magonjwa mengine hasa yasiyo ya kuambukiza wapo katika hatari zaidi kuathirika na UVIKO" what's the coincedence?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…