huyu dodo kamfanyia mambo ya utamaduni .
Kuna rafiki yangu amekuwa na matatizo ya kifamilia alitofautiana na mke wake, mwisho wa siku mkewe akawa anataka watengane jamaa akawa anajaribu kila hali kusuluhisha. Japo tatizo lenyewe halikuwa kubwa madhara yake jamaa akawa anazimia na kupoteza fahamu mpaka akalazwa hospitali na mwishowe suluhu ikawa ni kumtafuta mke wake. Akimwona tuu jamaa anapona na mkewe wake akiondoka tuu hali inamrudia mpaka anadondoka na kushindwa kuongea. Huu ugonjwa unitwaje na dawa yake ni nini? maana mke hataki kurudi kwa jamaa. Njia mbadala ya kumponya jamaa ni nini?
ni mojawapo wa magonjwa ya akili, unaitwa panic attack. hutibiwa kwa njia iitwayo cognative behavioral therapy!!Kuna rafiki yangu amekuwa na matatizo ya kifamilia alitofautiana na mke wake, mwisho wa siku mkewe akawa anataka watengane jamaa akawa anajaribu kila hali kusuluhisha. Japo tatizo lenyewe halikuwa kubwa madhara yake jamaa akawa anazimia na kupoteza fahamu mpaka akalazwa hospitali na mwishowe suluhu ikawa ni kumtafuta mke wake. Akimwona tuu jamaa anapona na mkewe wake akiondoka tuu hali inamrudia mpaka anadondoka na kushindwa kuongea. Huu ugonjwa unitwaje na dawa yake ni nini? maana mke hataki kurudi kwa jamaa. Njia mbadala ya kumponya jamaa ni nini?
hili si jukwaa la kujadili upuuzi. uchawi peleka kijijini kwenu huko.mnhhhh...kama jukwaa hili linaruhusu na magonjwa ya kimila/kichawi kujadiliwa naomba ruhusa nijadili gonjwa hili na tiba yake...na akizidi kuchelewa amini nakuambia kiangazi hafiki huyooo...masika ikiisha tuuu june inaanza kiangazi.
Sasa wewe umeleta Thread watu wanakupa Ushauri wewe unawalaumu wasilete mambo ya black chemistry? Si ungemaliza hukohuko na huyo mgonjwa wako? Au ulitaka na wewe Watu wakujuwe kuwa umeleta thread yako hapa? Tafadhali usilaumu watu bure tu.Nashukuru anaendelea vizuri, tulichofanya ni kupeleka timu ya washauri (counseling). Acheni hayo mawazo ya black chemistry