Huu ugonjwa unanitesa sana… nahitaji dawa ya uhakika

Huu ugonjwa unanitesa sana… nahitaji dawa ya uhakika

mamamzungu

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2019
Posts
2,554
Reaction score
4,271
Habari

Mwenzenu ugonjwa huu wa mafua unanitesa sana mpk imekua kero kwangu

Mara nyingi nikiupata unanifanya mdhaifu sana yaani homa kabisa mpk wakati mwingine nahisi kama nakufa

Sikumbuki kuumwa magonjwa mengine ni lini ila mafua mafua mafua ndio ugonjwa wangu mkubwa

Nimeshaenda hospital mara nyingi maana hali yangu huwa mbaya kila nikiyapata hayo mafua inapelekea niende hospital nicheck labda nina ugonjwa mwingine ila nikipimwa naambiwa siumwi ni mafua tu wanipa dawa tu


Sasa mimi nahitaji kujua kama kuna dawa ya kuondokana na hii hali nikawa tu kama wengine wakipata mafua wanakuwa kawaida tu sio kama hivi mimi navyoteseka

Nishachoka hizo dawa nazopewa kila siku ni kama hazina msaada kwangu.. Maana mpk nimekuwa muoga kila nikijisikia hali ya kuja kwa mafua nawaandaa watu maana lolote laweza kutokea

Nawasilisha[emoji2970]
 
Pole sana kwa hali unayopitia. Mafua yanaweza kuwa kero kubwa, hasa kama yanakufanya ujisikie dhaifu sana. Kuna njia kadhaa za kupunguza dalili za mafua na kuimarisha kinga yako ili usipate mafua mara kwa mara:

Kunywa vinywaji vya moto: Vinywaji kama chai ya tangawizi, supu ya kuku, na maji ya limao na asali vinaweza kusaidia kupunguza dalili za mafua


Pumzika vya kutosha: Kupumzika kunasaidia mwili wako kupambana na maambukizi na kupona haraka.
Tumia dawa za kupunguza dalili: Dawa za kupulizia puani na lozenges zinaweza kusaidia kupunguza kuziba kwa pua na maumivu ya koo

Kula vyakula vyenye virutubisho: Vyakula kama matunda na mboga za majani vinaweza kusaidia kuimarisha kinga yako


Epuka msongo wa mawazo: Msongo wa mawazo unaweza kudhoofisha kinga yako, hivyo jaribu kupunguza msongo kwa kufanya mazoezi ya kupumzika kama yoga au kutembea.
Tumia asali: Asali asilia inaweza kusaidia kupunguza kikohozi na muwasho kwenye koo

Ikiwa unapata mafua mara kwa mara, inaweza kuwa muhimu kuzungumza na daktari wako kuhusu njia za kuimarisha kinga yako na kuzuia maambukizi ya mara kwa mara. Pia, unaweza kujaribu kubadilisha dawa unazotumia kwa ushauri wa daktari ili kuona kama kuna dawa nyingine itakayokufaa zaidi.
 
Pole sana kwa hali unayopitia. Mafua yanaweza kuwa kero kubwa, hasa kama yanakufanya ujisikie dhaifu sana. Kuna njia kadhaa za kupunguza dalili za mafua na kuimarisha kinga yako ili usipate mafua mara kwa mara:

Kunywa vinywaji vya moto: Vinywaji kama chai ya tangawizi, supu ya kuku, na maji ya limao na asali vinaweza kusaidia kupunguza dalili za mafua


Pumzika vya kutosha: Kupumzika kunasaidia mwili wako kupambana na maambukizi na kupona haraka.
Tumia dawa za kupunguza dalili: Dawa za kupulizia puani na lozenges zinaweza kusaidia kupunguza kuziba kwa pua na maumivu ya koo

Kula vyakula vyenye virutubisho: Vyakula kama matunda na mboga za majani vinaweza kusaidia kuimarisha kinga yako


Epuka msongo wa mawazo: Msongo wa mawazo unaweza kudhoofisha kinga yako, hivyo jaribu kupunguza msongo kwa kufanya mazoezi ya kupumzika kama yoga au kutembea.
Tumia asali: Asali asilia inaweza kusaidia kupunguza kikohozi na muwasho kwenye koo

Ikiwa unapata mafua mara kwa mara, inaweza kuwa muhimu kuzungumza na daktari wako kuhusu njia za kuimarisha kinga yako na kuzuia maambukizi ya mara kwa mara. Pia, unaweza kujaribu kubadilisha dawa unazotumia kwa ushauri wa daktari ili kuona kama kuna dawa nyingine itakayokufaa zaidi.

Asante
 
Achana na vinywaji baridi !
Jitahidi usioshe uso wako kwa kutumia sabuni, lengo ni ili sabuni isiingie puani!
Kama ni mpenzi wa spray, perfume acha kabisa kutumia !
Epuka mazingira ya vumbi mfano kazn n.k !
Kuwa msafi, badilisha mashuka na blanket mara kwa mara !

Kama unaishi maeneo ya baridi jitahidi uwe unavaa nguo za joto ! Pendelea kutumia vitu kama tangawizi nk !

Pole sana, nadhi utakuwa na allergy! Hii hali ilishanikuta kipindi flani nikiwa primary hadi advance, doctor alinishauri hivyo kama nilivyokushauri now niko poa, nilikuwa siwez kukaa wiki bila kuumwa mafua, now hata miez 2 inapita
 
pole sana.
Mafua ni aleji kama alivyosema wachangiaji waliopita hasa kama ni ya mara kwa mara.
Jichunguze ni mazingira gani au mabadiliko gani ya hali ya hewa ya baridi,au vinywaji baridi au vikereketa vipi allergens zinazoweza zikawa chanzo cha mafua mfano marashi ya sabuni au manukato,vumbi,moshi,manyoya ,mimea inayochamvua ,nguo za sufi pamba ,vumbi la majani,ndege manyoya au vinyeshi vya ndege na wanyama wafugwao na n.k viko vingi katika mazingira yetu
Mara nyingi aleji hii huongozana na aleji ya kifua pumu ya kifua au pumu ya ngozi aleji ya ngozi na macho japo sio mara zote.
KUEPUKA VISABABISHI kama ni manukato au sabuni au mazingira ya vumbi moshi n.k ni moja ya MATIBABU YA MSINGI NA NJIA BORA YA KUZUIA.
Dawa za aleji kuaaidia kuondoa dalili za aleji kama mafua kuvuja pua

2.Ni maambukizi ya virusi vya mafua au virusi mwilini..
AMBAPO mara nyingi kwa virusi vingi vya mafua nijia ya kupambana navyo ni KUIMARISHA KINGA ya mwili.Mboga za majani na matunda ,mlo kamili,mazoezi na dawa za virutubishi,dawa za kufubaza virusi
dawa za aleji

Inatarajiwa kama kinga yaki ya mwili iko madhubuti mafua yaishe yenyewe kwa msaada wa kinga zako ndani ya siku 4 isizidi wiki moja

Mafua yanayoendelea zaidi ya hizo siku ipo uwezekano na vimelea vya bakteria navyo vikaingilia kati kuongezea hapo superimposed bacterial infection
Hivyo daktari wako anaeweza kukupa na dawa za viua vimelea antibiotics

YOTE KWA YOTE
Unatakiwa uende hospitali kubwa onana na daktari bingwa ,atakusikiliza,atakuchunguza na kukupima ,atakusomea majibu,atakutubu na kukupa ushauri.
NENDA HOSPITALI.
 
Achana na vinywaji baridi !
Jitahidi usioshe uso wako kwa kutumia sabuni, lengo ni ili sabuni isiingie puani!
Kama ni mpenzi wa spray, perfume acha kabisa kutumia !
Epuka mazingira ya vumbi mfano kazn n.k !
Kuwa msafi, badilisha mashuka na blanket mara kwa mara !

Kama unaishi maeneo ya baridi jitahidi uwe unavaa nguo za joto ! Pendelea kutumia vitu kama tangawizi nk !

Pole sana, nadhi utakuwa na allergy! Hii hali ilishanikuta kipindi flani nikiwa primary hadi advance, doctor alinishauri hivyo kama nilivyokushauri now niko poa, nilikuwa siwez kukaa wiki bila kuumwa mafua, now hata miez 2 inapita
Umecheki Kinga za Mwilini?
 
Godoro lako unalotumia lina
Muda gani tangu ununue
Lina bed cover kama bedi cover ni la aina gani
Unatumia mashuka ya cotton 100% au yale mixed na polsyer

Nyavu za dirishani chumbani kwako zina muda gani tangu zibadirishwe

Chumba unacholalia kina mchanganyiko na viatu unaweka humo pamoja na nguo chafu ulizozivaa zinazosubiliwa kufua

Unatumia PANGABOY au feni ya stand au ile ya juu mwanqmke nyonga
Nijibu then nikupe muongozo



Nimeteseka na mafua kwa miaka 10+
 
Habari

Mwenzenu ugonjwa huu wa mafua unanitesa sana mpk imekua kero kwangu

Mara nyingi nikiupata unanifanya mdhaifu sana yaani homa kabisa mpk wakati mwingine nahisi kama nakufa

Sikumbuki kuumwa magonjwa mengine ni lini ila mafua mafua mafua ndio ugonjwa wangu mkubwa

Nimeshaenda hospital mara nyingi maana hali yangu huwa mbaya kila nikiyapata hayo mafua inapelekea niende hospital nicheck labda nina ugonjwa mwingine ila nikipimwa naambiwa siumwi ni mafua tu wanipa dawa tu


Sasa mimi nahitaji kujua kama kuna dawa ya kuondokana na hii hali nikawa tu kama wengine wakipata mafua wanakuwa kawaida tu sio kama hivi mimi navyoteseka

Nishachoka hizo dawa nazopewa kila siku ni kama hazina msaada kwangu.. Maana mpk nimekuwa muoga kila nikijisikia hali ya kuja kwa mafua nawaandaa watu maana lolote laweza kutokea

Nawasilisha[emoji2970]
Boost your immunity, tumia suppliments za Zinc na Vitamin C
 
1. Allergy
2. Low immunity

1. Vipi kuhusu HIV Status [emoji848][emoji848]???
2. Mazingira yako unayoishi [emoji848][emoji848]??

Plan/lab data
. Kacheki "Allergic test

Nimeanza kusumbuliwa na hii hali tangu nikiwa mdogo mdogo mpk now

Sina HIV

Kwenye low immunity siko sure kwasababu mimi kuumwa magonjwa mengine tofauti na mafua na kichwa sikumbuki mara ya mwisho lini

Labda hiyo Allergy ndio nicheck
 
Achana na vinywaji baridi !
Jitahidi usioshe uso wako kwa kutumia sabuni, lengo ni ili sabuni isiingie puani!
Kama ni mpenzi wa spray, perfume acha kabisa kutumia !
Epuka mazingira ya vumbi mfano kazn n.k !
Kuwa msafi, badilisha mashuka na blanket mara kwa mara !

Kama unaishi maeneo ya baridi jitahidi uwe unavaa nguo za joto ! Pendelea kutumia vitu kama tangawizi nk !

Pole sana, nadhi utakuwa na allergy! Hii hali ilishanikuta kipindi flani nikiwa primary hadi advance, doctor alinishauri hivyo kama nilivyokushauri now niko poa, nilikuwa siwez kukaa wiki bila kuumwa mafua, now hata miez 2 inapita

Sawa asante
 
pole sana.
Mafua ni aleji kama alivyosema wachangiaji waliopita hasa kama ni ya mara kwa mara.
Jichunguze ni mazingira gani au mabadiliko gani ya hali ya hewa ya baridi,au vinywaji baridi au vikereketa vipi allergens zinazoweza zikawa chanzo cha mafua mfano marashi ya sabuni au manukato,vumbi,moshi,manyoya ,mimea inayochamvua ,nguo za sufi pamba ,vumbi la majani,ndege manyoya au vinyeshi vya ndege na wanyama wafugwao na n.k viko vingi katika mazingira yetu
Mara nyingi aleji hii huongozana na aleji ya kifua pumu ya kifua au pumu ya ngozi aleji ya ngozi na macho japo sio mara zote.
KUEPUKA VISABABISHI kama ni manukato au sabuni au mazingira ya vumbi moshi n.k ni moja ya MATIBABU YA MSINGI NA NJIA BORA YA KUZUIA.
Dawa za aleji kuaaidia kuondoa dalili za aleji kama mafua kuvuja pua

2.Ni maambukizi ya virusi vya mafua au virusi mwilini..
AMBAPO mara nyingi kwa virusi vingi vya mafua nijia ya kupambana navyo ni KUIMARISHA KINGA ya mwili.Mboga za majani na matunda ,mlo kamili,mazoezi na dawa za virutubishi,dawa za kufubaza virusi
dawa za aleji

Inatarajiwa kama kinga yaki ya mwili iko madhubuti mafua yaishe yenyewe kwa msaada wa kinga zako ndani ya siku 4 isizidi wiki moja

Mafua yanayoendelea zaidi ya hizo siku ipo uwezekano na vimelea vya bakteria navyo vikaingilia kati kuongezea hapo superimposed bacterial infection
Hivyo daktari wako anaeweza kukupa na dawa za viua vimelea antibiotics

YOTE KWA YOTE
Unatakiwa uende hospitali kubwa onana na daktari bingwa ,atakusikiliza,atakuchunguza na kukupima ,atakusomea majibu,atakutubu na kukupa ushauri.
NENDA HOSPITALI.

Nashukuru
 
Godoro lako unalotumia lina
Muda gani tangu ununue
Lina bed cover kama bedi cover ni la aina gani
Unatumia mashuka ya cotton 100% au yale mixed na polsyer

Nyavu za dirishani chumbani kwako zina muda gani tangu zibadirishwe

Chumba unacholalia kina mchanganyiko na viatu unaweka humo pamoja na nguo chafu ulizozivaa zinazosubiliwa kufua

Unatumia PANGABOY au feni ya stand au ile ya juu mwanqmke nyonga
Nijibu then nikupe muongozo



Nimeteseka na mafua kwa miaka 10+

Kwa baadhi hapo ni ndio mengine ni hapana
 
Back
Top Bottom