mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
- #21
kula limao kwa wingi
Nalikulaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kula limao kwa wingi
Probably Mafua Yake ni Viral Flue so hakuna Dawa haizoee tu hiyo hali
Cheki kinga yako. TanescoHabari
Mwenzenu ugonjwa huu wa mafua unanitesa sana mpk imekua kero kwangu
Mara nyingi nikiupata unanifanya mdhaifu sana yaani homa kabisa mpk wakati mwingine nahisi kama nakufa
Sikumbuki kuumwa magonjwa mengine ni lini ila mafua mafua mafua ndio ugonjwa wangu mkubwa
Nimeshaenda hospital mara nyingi maana hali yangu huwa mbaya kila nikiyapata hayo mafua inapelekea niende hospital nicheck labda nina ugonjwa mwingine ila nikipimwa naambiwa siumwi ni mafua tu wanipa dawa tu
Sasa mimi nahitaji kujua kama kuna dawa ya kuondokana na hii hali nikawa tu kama wengine wakipata mafua wanakuwa kawaida tu sio kama hivi mimi navyoteseka
Nishachoka hizo dawa nazopewa kila siku ni kama hazina msaada kwangu.. Maana mpk nimekuwa muoga kila nikijisikia hali ya kuja kwa mafua nawaandaa watu maana lolote laweza kutokea
Nawasilisha[emoji2970]
We are in the same boat.. mafua huwa yananitesa saana hasa nikipata vumbi. Sasa hivi natumia garlic +onion. Asubuhi nakula raw onion, chopped in small cubes then i swallow with water, evening I chew garlic...Nimeyashinda.Nimeanza kusumbuliwa na hii hali tangu nikiwa mdogo mdogo mpk now
Sina HIV
Kwenye low immunity siko sure kwasababu mimi kuumwa magonjwa mengine tofauti na mafua na kichwa sikumbuki mara ya mwisho lini
Labda hiyo Allergy ndio nicheck
Mafua hayana dawa! Mara nyingi hutegemea Kinga Asili za mwili wa mtu. Lakini kikubwa unatakiwa kubaini sababu za wewe kupata mafua mara kwa mara. Mazingira unayoishi au kukaa muda mrefu huwa sababu ya kwanza ikiwemo Harufu unayovuta, hewa yenye vumbi au manukato makali ni sababu kuu. Pia, kama kuna aina ya visababishi ndani ya nyumba makazi yako unaweza kuhangaika milele hadi uviondoe vitu hivyo.Habari
Mwenzenu ugonjwa huu wa mafua unanitesa sana mpk imekua kero kwangu
Mara nyingi nikiupata unanifanya mdhaifu sana yaani homa kabisa mpk wakati mwingine nahisi kama nakufa
Sikumbuki kuumwa magonjwa mengine ni lini ila mafua mafua mafua ndio ugonjwa wangu mkubwa
Nimeshaenda hospital mara nyingi maana hali yangu huwa mbaya kila nikiyapata hayo mafua inapelekea niende hospital nicheck labda nina ugonjwa mwingine ila nikipimwa naambiwa siumwi ni mafua tu wanipa dawa tu
Sasa mimi nahitaji kujua kama kuna dawa ya kuondokana na hii hali nikawa tu kama wengine wakipata mafua wanakuwa kawaida tu sio kama hivi mimi navyoteseka
Nishachoka hizo dawa nazopewa kila siku ni kama hazina msaada kwangu.. Maana mpk nimekuwa muoga kila nikijisikia hali ya kuja kwa mafua nawaandaa watu maana lolote laweza kutokea
Nawasilisha[emoji2970]
Yeah Pengine Labda Awe anatumia Tangawizi na Lemon juice au Lime juice au Mchanganyiko wa Hivyo vyote kwa pamoja aidha lime Juice pamoja na Tangawizi anakunywa Inaweza kuongeza Immunity ya Kutopata Flue kwa haraka..Khaaa
Pole sana.Habari
Mwenzenu ugonjwa huu wa mafua unanitesa sana mpk imekua kero kwangu
Mara nyingi nikiupata unanifanya mdhaifu sana yaani homa kabisa mpk wakati mwingine nahisi kama nakufa
Sikumbuki kuumwa magonjwa mengine ni lini ila mafua mafua mafua ndio ugonjwa wangu mkubwa
Nimeshaenda hospital mara nyingi maana hali yangu huwa mbaya kila nikiyapata hayo mafua inapelekea niende hospital nicheck labda nina ugonjwa mwingine ila nikipimwa naambiwa siumwi ni mafua tu wanipa dawa tu
Sasa mimi nahitaji kujua kama kuna dawa ya kuondokana na hii hali nikawa tu kama wengine wakipata mafua wanakuwa kawaida tu sio kama hivi mimi navyoteseka
Nishachoka hizo dawa nazopewa kila siku ni kama hazina msaada kwangu.. Maana mpk nimekuwa muoga kila nikijisikia hali ya kuja kwa mafua nawaandaa watu maana lolote laweza kutokea
Nawasilisha[emoji2970]
Acha kulala na feniHabari
Mwenzenu ugonjwa huu wa mafua unanitesa sana mpk imekua kero kwangu
Mara nyingi nikiupata unanifanya mdhaifu sana yaani homa kabisa mpk wakati mwingine nahisi kama nakufa
Sikumbuki kuumwa magonjwa mengine ni lini ila mafua mafua mafua ndio ugonjwa wangu mkubwa
Nimeshaenda hospital mara nyingi maana hali yangu huwa mbaya kila nikiyapata hayo mafua inapelekea niende hospital nicheck labda nina ugonjwa mwingine ila nikipimwa naambiwa siumwi ni mafua tu wanipa dawa tu
Sasa mimi nahitaji kujua kama kuna dawa ya kuondokana na hii hali nikawa tu kama wengine wakipata mafua wanakuwa kawaida tu sio kama hivi mimi navyoteseka
Nishachoka hizo dawa nazopewa kila siku ni kama hazina msaada kwangu.. Maana mpk nimekuwa muoga kila nikijisikia hali ya kuja kwa mafua nawaandaa watu maana lolote laweza kutokea
Nawasilisha[emoji2970]
Kuna Mtu alikuwa na mafua sugu pia, yaani hayaishi KABISA kwa dawa za hospitali...Habari
Mwenzenu ugonjwa huu wa mafua unanitesa sana mpk imekua kero kwangu
Mara nyingi nikiupata unanifanya mdhaifu sana yaani homa kabisa mpk wakati mwingine nahisi kama nakufa
Sikumbuki kuumwa magonjwa mengine ni lini ila mafua mafua mafua ndio ugonjwa wangu mkubwa
Nimeshaenda hospital mara nyingi maana hali yangu huwa mbaya kila nikiyapata hayo mafua inapelekea niende hospital nicheck labda nina ugonjwa mwingine ila nikipimwa naambiwa siumwi ni mafua tu wanipa dawa tu
Sasa mimi nahitaji kujua kama kuna dawa ya kuondokana na hii hali nikawa tu kama wengine wakipata mafua wanakuwa kawaida tu sio kama hivi mimi navyoteseka
Nishachoka hizo dawa nazopewa kila siku ni kama hazina msaada kwangu.. Maana mpk nimekuwa muoga kila nikijisikia hali ya kuja kwa mafua nawaandaa watu maana lolote laweza kutokea
Nawasilisha[emoji2970]
Zuia stimulus za fluuHabari
Mwenzenu ugonjwa huu wa mafua unanitesa sana mpk imekua kero kwangu
Mara nyingi nikiupata unanifanya mdhaifu sana yaani homa kabisa mpk wakati mwingine nahisi kama nakufa
Sikumbuki kuumwa magonjwa mengine ni lini ila mafua mafua mafua ndio ugonjwa wangu mkubwa
Nimeshaenda hospital mara nyingi maana hali yangu huwa mbaya kila nikiyapata hayo mafua inapelekea niende hospital nicheck labda nina ugonjwa mwingine ila nikipimwa naambiwa siumwi ni mafua tu wanipa dawa tu
Sasa mimi nahitaji kujua kama kuna dawa ya kuondokana na hii hali nikawa tu kama wengine wakipata mafua wanakuwa kawaida tu sio kama hivi mimi navyoteseka
Nishachoka hizo dawa nazopewa kila siku ni kama hazina msaada kwangu.. Maana mpk nimekuwa muoga kila nikijisikia hali ya kuja kwa mafua nawaandaa watu maana lolote laweza kutokea
Nawasilisha[emoji2970]