Huu ujumbe kanitumia mshana Jr kwa namba ngeni nimjibuje?

Tajirimsomi

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2017
Posts
4,824
Reaction score
5,587
Mjukuu Wangu chaula hujajambo ni mimi babu yako nimeludi kutoka kongo sasa yale mambo yetu yatakwenda vizuli naile ndagu niliyokupa inaonekana imekufa vizuli maana kilakunapokucha unaongeza magali ila munachoniuzi wewe nawenzako wakina mwendamwaseke munaniletea watu nawasaidia bule wanaenda kufanikiwa hawaludi kushukulu haya vijana musione hvyo kunawatu wanatamani sana kuwa kama nyie lakini hawajui waanzie wapi kuweni makini na mashelti na dawa yakuvuta wateja kwenye hoteli kama mwanzo nimekuja nayo nihatali nilivyo itengeneza mwagizie kijana ajeachukuwe au nipigie simu nikuelekeze vizuli.
 
Huu ndiyo mwandiko wake wa KIROZI!?
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

 
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…