Huu ujumbe kanitumia mshana Jr kwa namba ngeni nimjibuje?

Huu ujumbe kanitumia mshana Jr kwa namba ngeni nimjibuje?

Mkuu nimecheka hadi machozi yamenitoka!!! Popote ulipo mshana Jr tambua kuwa nakupenda bro.... Mchango wako humu JF umekua ukinifurahisha Sana....

Leo watu wameambua kumake fun na Kiukweli kwa hili wamekuweza! Big up mleta uzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu nimecheka hadi machozi yamenitoka!!! Popote ulipo mshana Jr tambua kuwa nakupenda bro.... Mchango wako humu JF umekua ukinifurahisha Sana....

Leo watu wameambua kumake fun na Kiukweli kwa hili wamekuweza! Big up mleta uzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji121] [emoji121] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji109] [emoji120] [emoji123]
 
Mjukuu Wangu chaula hujajambo ni mimi babu yako nimeludi kutoka kongo sasa yale mambo yetu yatakwenda vizuli naile ndagu niliyokupa inaonekana imekufa vizuli maana kilakunapokucha unaongeza magali ila munachoniuzi wewe nawenzako wakina mwendamwaseke munaniletea watu nawasaidia bule wanaenda kufanikiwa hawaludi kushukulu haya vijana musione hvyo kunawatu wanatamani sana kuwa kama nyie lakini hawajui waanzie wapi kuweni makini na mashelti na dawa yakuvuta wateja kwenye hoteli kama mwanzo nimekuja nayo nihatali nilivyo itengeneza mwagizie kijana ajeachukuwe au nipigie simu nikuelekeze vizuli.
Hii msg nimetumiwa saan ten kweny namb amby nimesajli c muda.
 
Mwendamseke[emoji3][emoji3][emoji3],chaula[emoji3] hao Njombe hao
 
Kiukweli nina rafiki yangu kazi yake ndo hiyo siku akizipiga huwa tunakula bata balaaaaa wala sitii chumvi tatizo ukienda kwake mkilala usiku mara mchanga umwagike mara mokaa zitembeee mara pikpik

Yan ni taflani kiukweli
 
Screenshot_20180212-173457.png
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mjukuu Wangu chaula hujajambo ni mimi babu yako nimeludi kutoka kongo sasa yale mambo yetu yatakwenda vizuli naile ndagu niliyokupa inaonekana imekufa vizuli maana kilakunapokucha unaongeza magali ila munachoniuzi wewe nawenzako wakina mwendamwaseke munaniletea watu nawasaidia bule wanaenda kufanikiwa hawaludi kushukulu haya vijana musione hvyo kunawatu wanatamani sana kuwa kama nyie lakini hawajui waanzie wapi kuweni makini na mashelti na dawa yakuvuta wateja kwenye hoteli kama mwanzo nimekuja nayo nihatali nilivyo itengeneza mwagizie kijana ajeachukuwe au nipigie simu nikuelekeze vizuli.
Mashelti.ahaaaa ahaaaa
 
Back
Top Bottom