Gordita
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 11,564
- 55,570
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ana mwandiko mbaya kweli au ana sekretarii huko porini ndo anaandikaga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ana mwandiko mbaya kweli au ana sekretarii huko porini ndo anaandikaga?
Tito yuko sawa kabisaMjibu hivi.
"Maisha yangu nimemkabidhi nabii Tito nguvu za giza zishindwe"
[emoji15] [emoji15] [emoji121] [emoji121] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji109] [emoji120] [emoji123]Mkuu nimecheka hadi machozi yamenitoka!!! Popote ulipo mshana Jr tambua kuwa nakupenda bro.... Mchango wako humu JF umekua ukinifurahisha Sana....
Leo watu wameambua kumake fun na Kiukweli kwa hili wamekuweza! Big up mleta uzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii msg nimetumiwa saan ten kweny namb amby nimesajli c muda.Mjukuu Wangu chaula hujajambo ni mimi babu yako nimeludi kutoka kongo sasa yale mambo yetu yatakwenda vizuli naile ndagu niliyokupa inaonekana imekufa vizuli maana kilakunapokucha unaongeza magali ila munachoniuzi wewe nawenzako wakina mwendamwaseke munaniletea watu nawasaidia bule wanaenda kufanikiwa hawaludi kushukulu haya vijana musione hvyo kunawatu wanatamani sana kuwa kama nyie lakini hawajui waanzie wapi kuweni makini na mashelti na dawa yakuvuta wateja kwenye hoteli kama mwanzo nimekuja nayo nihatali nilivyo itengeneza mwagizie kijana ajeachukuwe au nipigie simu nikuelekeze vizuli.
hahaaaa aisee simbilisi yupo kama panya buku daahhkwani mshana analoga??
kama ndivyo subiri akugeuze simbilisi
hahaaaa daahAna mwandiko mbaya kweli au ana sekretarii huko porini ndo anaandikaga?
Nan kawapa namba zangu hawa mafala
Mwendamseke[emoji3][emoji3][emoji3],chaula[emoji3] hao Njombe hao
Mjibu hivi.
"Maisha yangu nimemkabidhi nabii Tito nguvu za giza zishindwe"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ana mwandiko mbaya kweli au ana sekretarii huko porini ndo anaandikaga?
Huyo aliecomenti hapo chini ndo kaua kabisa
Yaani moja kwa moja!! Nimecheka hadi basi!Huyo aliecomenti hapo chini ndo kaua kabisa
Ni mimi[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji12]Huyo aliecomenti hapo chini ndo kaua kabisa
Mashelti.ahaaaa ahaaaaMjukuu Wangu chaula hujajambo ni mimi babu yako nimeludi kutoka kongo sasa yale mambo yetu yatakwenda vizuli naile ndagu niliyokupa inaonekana imekufa vizuli maana kilakunapokucha unaongeza magali ila munachoniuzi wewe nawenzako wakina mwendamwaseke munaniletea watu nawasaidia bule wanaenda kufanikiwa hawaludi kushukulu haya vijana musione hvyo kunawatu wanatamani sana kuwa kama nyie lakini hawajui waanzie wapi kuweni makini na mashelti na dawa yakuvuta wateja kwenye hoteli kama mwanzo nimekuja nayo nihatali nilivyo itengeneza mwagizie kijana ajeachukuwe au nipigie simu nikuelekeze vizuli.