Huu ujumbe unanikera sana wakuu!

Halotel wamenipiga tukio, Jana Nimeweka Gb1 Mida ya sa3 usika nikawasha Data nikafungua Whatsapp nikachart kidgo nikazima data nikalala, Asubuhi naambiwa Salio Langu limekata [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halotel wamenipiga tukio, Jana Nimeweka Gb1 Mida ya sa3 usika nikawasha Data nikafungua Whatsapp nikachart kidgo nikazima data nikalala, Asubuhi naambiwa Salio Langu limekata [emoji23][emoji23][emoji23]
Wadai[emoji23]
 
Tuendelee kulipa kodi na Tozo wakuu.
πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nacheka lakini naogopa.
 
Airtel wamenitumia dkk 10 zilizopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…