KERO Huu ujumbe wa Ajira Portal nawezaje kuupatia ufumbuzi?

KERO Huu ujumbe wa Ajira Portal nawezaje kuupatia ufumbuzi?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
ndio,ajira portal wanataka document size iwe 2 mb,na document zangu zina ukubwa wa kb
Hakuna mfumo wa serikali ambao upo accurate, mifumo mingi ya serikali ina mapungufu halafu mapungufu mengi ni ya uzembe tu wa ma developer au kuto kujua au utaalam mdogo
 
kiongozi ufumbuzi sikupata,japokuwa wadau walinishauri baadhi ya njia za kufuata lkn ilishindikana.
 
Back
Top Bottom