Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Ndio ulawiti mtoto wa kumzaa kweli?Si alawitiwe yeye kama ana huo msongo?Mengine ni msongo wa mawazo ya aki na baba kudaiwa kodi ya meza kila siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ulawiti mtoto wa kumzaa kweli?Si alawitiwe yeye kama ana huo msongo?Mengine ni msongo wa mawazo ya aki na baba kudaiwa kodi ya meza kila siku.
Ndiyo maana tunasema na hata humu kila siku tunapiga kelele kwamba enyi kinamama washawishini au waachieni waume zenu wawe ndo watafuta ridhiki wakuu wa familia zenu ninyi m’baki majumbani mkiwalea watoto na kuwalinda dhidi ya hila mbaya kama hizi but mnakataa mnasema na ninyi mnataka mtafute za kwenu ili heshima ndani iwepo.Kama huyo alobakwa na baba yake na rafiki ya baba yake. Mama yake amesafiri na mpaka Sasa hajarudi
Sawaaa, lakini kunyimwa unyumba ndo iwe chanzo Cha kulawiti mtoto wa kumzaa kweli? Tena ni ziezi endelevu, bila huruma?... Jirani ndiyo anakuja kuufahamu ukweli baada ya mtoto kugoma kwenda kulala na baba yake, akilalamika sehemu za Siri zinamuuma. Tena zote 2Ndiyo maana tunasema na hata humu kila siku tunapiga kelele kwamba enyi kinamama washawishini au waachieni waume zenu wawe ndo watafuta ridhiki wakuu wa familia zenu ninyi m’baki majumbani mkiwalea watoto na kuwalinda dhidi ya hila mbaya kama hizi but mnakataa mnasema na ninyi mnataka mtafute za kwenu ili heshima ndani iwepo.
Jukumu la mama kuwa mwangalizi wa familia na nyumba kwa ujumla leo halipo,wote kujifanya mpo busy na kupeleka tutoto aged 2½ shule za bweni na watoto wanalelewa na house maids na house boys ukiuliza mama ameenda kazini baba ameenda kazini mara mama amefata mzigo sijui Arusha baba amepeleka mzigo Congo unataka watoto wasiharibiwe?huyo house boy uliyeachia watoto unaijua tabia yake?
Waafrica tulipouingia mkenge wa haki sawa hapo ndo tuliuza kila kitu hadi utu wetu kama kuna hiyo kesi hapo juu ya mpemba kulawiti bintiye mama yake akiwa amelala usifikiri kuna kingine (sitetei) ila it's obviously kulikuwa na kutoelewana kati ya baba na mama kuhusu mambo ya chumbani sometimes kumnyima unyumba mwanaume akimng’ang’ania anamtishia dawati la jinsia kwamba umenibaka mwanaume nae kwa akili zake fupi au kudhani anamkomesha mke akaenda kuharibu mtoto wake.
Na bado kama hatukurudi ktk misingi sahihi ya familia zetu za Kiafrika hili jambo litatusumbua sana.
mbona povu limekutoka sana mkuu au we ni miongoni mwa hao wabakaji?Haujasikia Kuna mama amebaka mtoto huko njombe au umesikia ya wanaume tu na umekuja kuwaambia akina mama kwamba akina baba ni wabakaji sio?
Kwamba akina mama wasafiri na watoto zao eti akina baba ni wabaya? Babako alikubaka wewe? Kakako alikubaka? Simply umesikia hayo matukio does it make kila mwanaume ni mbakaji? Basi mbona wewe hawajakulawiti hao wajomba zako?
You are stupid
Nawe umevamia treni kwa mbele, unaposema eti mzazi asifumbie ujinga, umesoma na kuelewa Nilichoandika au unaleta makalio yako sababu mjombako alikufumua marinda ?mbona povu limekutoka sana mkuu au we ni miongoni mwa hao wabakaji?
mleta mada ameongea kitu chenye maslahi mapana sana kwa ustawi wa familia zetu sasa kosa lake nini mpaka una mu attack?
kila mtu ana uhuru wa kuandika kile ambacho amahisi hakipo sawa hivyo huwezi ingilia uhuru we mtu
kwaiyo ulitaka ili bandiko lake lionekane lamaana kwako kwamba ile hali ingemtokea na yeye? shame on you
bandiko lipo vizuri zaidi ya sana na ndio vitu hasa vya msingi vya kujadili kwenye platform kama hizi
huj ujinga unazid kushamiri siku hadi siku, na hata uko mashuleni tunaskia tu walimu wanabaka wanafunzi
mabandiko yakiwekwa umu unakuta vilaza wanatetea ujinga
sasa ngojeni walawitiwe watoto zenu ndio mtajua mbivu na mbichi
we kama mzazi mwenye akili utafumbiaje macho huu ujinga unaoendelea?
keep it up queen wala hata usitishwe na kauli za watu zenye kukukatisha tamaa
hatupo jukwaan hapa kwa ajili ya kuchangia ujinga wa watu fln
Nimeshangaa Sana huyo jamaa.... Ukiona hivyo ujue ana hitilafu sehemu. Akapimwe akilimbona povu limekutoka sana mkuu au we ni miongoni mwa hao wabakaji?
mleta mada ameongea kitu chenye maslahi mapana sana kwa ustawi wa familia zetu sasa kosa lake nini mpaka una mu attack?
kila mtu ana uhuru wa kuandika kile ambacho amahisi hakipo sawa hivyo huwezi ingilia uhuru we mtu
kwaiyo ulitaka ili bandiko lake lionekane lamaana kwako kwamba ile hali ingemtokea na yeye? shame on you
bandiko lipo vizuri zaidi ya sana na ndio vitu hasa vya msingi vya kujadili kwenye platform kama hizi
huj ujinga unazid kushamiri siku hadi siku, na hata uko mashuleni tunaskia tu walimu wanabaka wanafunzi
mabandiko yakiwekwa umu unakuta vilaza wanatetea ujinga
sasa ngojeni walawitiwe watoto zenu ndio mtajua mbivu na mbichi
we kama mzazi mwenye akili utafumbiaje macho huu ujinga unaoendelea?
keep it up queen wala hata usitishwe na kauli za watu zenye kukukatisha tamaa
hatupo jukwaan hapa kwa ajili ya kuchangia ujinga wa watu fln
Na hizi mambo siku hizi zimeongezeka sanaaa. Ukatili wa aina mbalimbali wanatendewa watoto... Sijui tunatengeneza kizazi Cha namna gani. Kama si Cha maumivu na visasi mioyoni mwao.Kwa hiyo hata baba wa watoto wetu hatuaminiki tena jamani?
Hivi mtoto wako kabisa, mtoto wa ndugu yako kabisa, mtoto wa jamii yako kabisa...mtoto mdogo kabisa, unapata wapi ujasiri wa kumharibu kiasi hicho.
Dunia imefikia wapi!!