Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo dodoma mkuuMkuu hao watu wapo hapa Dar au ili msaada ukitokea tuwakumbuke siunajua Rahisi wao kaenda.
duh!! Arusha Nini?Ni kweli ndugu. Nakumbuka siku moja baada ya kukosa kazi kiwanda cha Alizeti. Wao wanalipa kila wiki. Sina pesa mfukoni, uzuri wanatoa chakula na nilikuwa naingia shift ya usiku. halafu sina pesa. Nilikuwa nategemea chakula cha kiwandani. Ukila leo mpaka kesho. Siku hiyo nikakosa kazi halafu jana sikula, (baada ya kufika, wakasema kazi hakuna, nikarudi nikalala, kesho yake usiku nikaenda wakasema kazi hakuna) Kutoka kiwandan mpaka ninapoishi ni kama saa 1 na nusu. Njaa imenikamata, nikasema, ewe Mungu naomba hata uniwezeshe niokote hata kipande cha Muogo nile. Natembea naenda nyumban, pembeni ya mti nikakuta kipande cha mhogo, kikubwa tu. Nikala njaa ikatoweka. Siku ikapita
Haya maisha, nikifikiria huwa nawaheshimu sana watu