Huu uongo wa ajali ya Tundaman kwa faida ya nani?

Aise kiki za namna iyo duh
 
Kuna kitu ana kutafta uyo, ata kipata tuu
 
Huyo aliyepost hiyo FB ni nani? Na alikuwa wapi wakati wa tukio? Maana millardayo.com ni moja ya reliable sources.
 
Kabla hatujakipinga hicho unachotuambia kwamba Tunda kakifanya tupe uhalali/uhakika wa unachokisema wewe......................
 
Hata Mimi nashangaaa ajali mbaya kama hiyo. Halfu Stoke bila michubuko si uongo huo jamana .kick hii imegoma ajaribu nyimgine
 
Kwa sifa za wasanii angepiga picha hapo hapo kwenye ajali kama kanusurika wanapiga picha wakati wameaga mwili Wa marehemu washindwe kupiga Na gari iliyopata ajali
 
Kwa sifa za wasanii angepiga picha hapo hapo kwenye ajali kama kanusurika wanapiga picha wakati wameaga mwili Wa marehemu washindwe kupiga Na gari iliyopata ajali
umenena
 
inawezekana, mi mwenyewe nilishangaa iweje mtu atoke mzima kwenye gari lililopondeka kiasi kile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…