Huu upepo si mzuri kwa Spika Tulia. Je, unaweza kupita naye?

Sioni dalili kuondolewa kwake Kwa Sasa ila anaweza ondolewa Kwa kuwaacha Chadema washinde Jimbo la Mbeya Mjini..

Licha ya kuaminiwa na Rais ila Bado ana akili za kimwendazake Mwendazake
 
Naomba mjadala huu ufungwe kwa comment hii.asante
 
Ila Tulia Ackson ni kichwa aise pamoja na yote. Sidhani kama aliongea hayo yote kwa kukurupuka. Naamini ni mtu msomi na anaijua nafasi yake. Ova
Kabadili gia angani na usomi wake. Ova
 
Mama mwenyewe ameonyesha kukasirishwa na ufisadi uliofanyika, hili ni suala la kupongezwa hata kama huko nyuma haikuwahi kujadiliwa huyu ni wakati mzuri kwa mustakabali wa nchi yetu
 
Huyo ni kichwa kuliko hao wote hapo...
Anajua hakuna wa kumtingisha...
Lakini ni ukubwa wa kichwa chake leo kabadili gia angani, pia sidhani kama ana nguvu kumzidi Job Ndugai
 
Ila Tulia Ackson ni kichwa aise pamoja na yote. Sidhani kama aliongea hayo yote kwa kukurupuka. Naamini ni mtu msomi na anaijua nafasi yake. Ova
Ni kilaza mkubwa! Sasa report ya CAG kijadiliwa baada ya bunge la bajeti.
 
Tusisahau Ni ugomvi wa kunguru kwa kunguru na utaamuliwa na kunguru mkuu.

Shambani kwa bibi kumenoga.
 
Nkisikiaga issues za CAG kama ni radio nazima.
We have never been serious na huu upigaji ever since.
Am sure at hii report itapita watachukuliwa wachache wa kutolewa kafara maisha yatasonga alafuu watu hao hao watapeta 2025
 
Hivi ni kwanini Katibu wa Bunge anateuliwa na Rais ambaye ni Mkuu wa Mwimili mwingine?
Rais ni Mkuu wa Nchi. Wewe unataka kumchukulia Rais kama Mkuu Serikali(executive) tu. Unasahau hicho cheo cha Mkuu wa Nchi. Mkuu wa Nchi ndio mwajiri mkuu.
Katibu wa Bunge ni Mtendaji. Lkn pia kama ana nafasi za kuteua wabunge, kwanini akose kumteua Katibu?
Isitoshe, mhimili mmoja kuwa stronger, strongest ni muhimu ili kuwa na breakthrough. Balance of power can cause a deadlock.
 
Sudan wamefikia walipo now kwa sababu ya pande mbili kukaribiana sana nguvu baada ya Omar Ole-Bashir kung'olewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…