Huu upuuzi wa wakikuyu kumiliki Kenya utakwisha lini?

Huu upuuzi wa wakikuyu kumiliki Kenya utakwisha lini?

Huyo Moses Kuria analazimisha kuwa mgombea mwenza wa Rutto, sikuliza ujinga anaosema, eti nafasi ya running mate is not negotiable, unawezaje kuzungumza ujinga huu wakati Kuna Katiba ya nchi?, Kweli Kenya ni wakabila kupitiliza.
Sasa Moses Kuria amekuwa Wakenya? Yeye ni mtu mmoja na hawezi kuwakilisha Wakenya wote.
 
Nimecheka sana kwa comments za huyo jamaa [emoji3][emoji3][emoji3]
Hawa Watu hawana akili aisee
90% ya wakenya wapo hovyo Sana, ndio sababu Kenya ina matatizo mengi Sana, hawana uwezo wa kufikiria mbali.
 
90% ya wakenya wapo hovyo Sana, ndio sababu Kenya ina matatizo mengi Sana, hawana uwezo wa kufikiria mbali.
Nyinyi wenye uwezo mkubwa wa kufikiria mbona nchi yenu inamilikiwa na wahindi na waarabu huku waafrika ngozi nyeusi wakiwa wapenzi watazamaji?
 
Achana na kenya ni failed state.

Watu wanaobaguana kwa makabila ni wapumbavu wasio na hadhi ya kujadiliwa.
 
So it's no longer about umiliki wa Kenya tena! Usharuka hadi kwenye swala la ukabila baada ya kukupa za uso.
Chizi wewe, kwani wakikuyu kumiliki Kenya si ndio ukabila wenyewe, acheni ukabila wajinga ninyi. Watu wazima mnazungumzia ujinga wa Gikuyu kuwa ndio kabila kubwa wenye haki ya kuongoza Kenya, eti tumeamua kuachia kabila zingine kuongoza kwahiyo nafasi ya naibu rais lazima awe ni mkikuyu, wangese kabisa ninyi.
 
🙈Mazezeta Nyinyi ni wajuaji Sana,Yani kumiliki Kenya unamaanisha aje???Mwenye hii story Ebu tuelimishe kidogo🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom